Mbishi Uswazi
Senior Member
- Feb 7, 2020
- 142
- 249
Habari wanaJF,
Wajuzi wa haya mambo mnijuze kwanini hivyo vitu vinatumia sana chaji na kufanya battery kuishiwa chaji haraka
Ni nini na vinafanyaje kazi pia naomba kujua ninawezaje kuzuia zisifanye kazi au zipunguze kula chaji?
Wajuzi wa haya mambo mnijuze kwanini hivyo vitu vinatumia sana chaji na kufanya battery kuishiwa chaji haraka
Ni nini na vinafanyaje kazi pia naomba kujua ninawezaje kuzuia zisifanye kazi au zipunguze kula chaji?