If there is anyone with the above mentioned software please pass it through nina shida nayo sana.
Mi staki talaka za uzeeni bana. Kama keshanidanganya basi na endelee maana saa izi aaaaaaaah!
nahitaji ambayo naweza kuangalia sms zinazoingia na kutoka pia call logs bila kugusa simu ya mtu wala kuinstall softiware yeyote kwenye simu inanyoipeleleza wala kugusa.
By the way hata kama kuna ya bluetooth si mbya japo siipendelei bse itanibidi niwe karibu na cm ninayoipeleleza.