Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,045
- 15,377
Zamani hizo mitandao ya simu ilikuwa inatoa huduma hii. Lakini siku hizi imekuwa nadra sana kuona mnara wa simu ukiwa na hii huduma. Labda uwe wa zamani sana.
Huduma hii ilikiwa inamuwezesha mtumiaji wa simu kujua yupo eneo lipi au kujua anapata na network kwa mnara uliosimikwa eneo gani.
Eg. Ubungo 1
Kihonda 3
Kibaigwa 2
Nyegezi 3
Sijui kama ww kwenye eneo lako, simu yako inakupa huu ujumbe.
Huduma hii ilikiwa inamuwezesha mtumiaji wa simu kujua yupo eneo lipi au kujua anapata na network kwa mnara uliosimikwa eneo gani.
Eg. Ubungo 1
Kihonda 3
Kibaigwa 2
Nyegezi 3
Sijui kama ww kwenye eneo lako, simu yako inakupa huu ujumbe.