Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,819
- 9,171
Kwani kina 2face Idibia wanapata wapi fedha? Ametoa 10mili Naira,mbona Nigeria piracy ni kubwa kuliko bongo na wanaija wana mipunga tu? Wasanii wa bongo Showoff kibao insta kupanga mighorofa ya 1m per month kwa ajili ya show off tu,kukodi magari makali ya kutembelea kwa ajili ya showoff hela zao zote zinaishia kwenye showoff tu......."MAX50 na SANTAIZA 20" kwani Tsh ngapi?Kazi zao mnazipata kimagendo halafu mnategemea wawe na hela. Hela wanazitoa wapi ?
My life is mine to remember