Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,407
- 25,926
Atakwambia yeye sio celebrityTuanzie kwako umechangia sh ngapi ? Usikimbilie wengine kwanza
Nawa mikono, vaa mask Corona ipo mtaani
Atakwambia yeye sio celebrityTuanzie kwako umechangia sh ngapi ? Usikimbilie wengine kwanza
Nawa mikono, vaa mask Corona ipo mtaani
Kama wewe
Mheshimiwa Makonda mkuu wa mkoa wa Dar es salaam na mkuu wa wakuu wa mikoa yote alikuwa sahihi aliposema hakuna mchagga mwenye moyo wa kujitoa kama mzee Mengi.Uyu mzee atakumbukwa kwa mengi kama jina lake alikuwa mtu wa mfano na kuigwa kwnye upande wa kujitoa yeye kama kioo cha jamii alikua mstari wa mbele kabisa. Mungu ailaze roho yake mahala pema daima
Mheshimiwa Makonda mkuu wa mkoa wa Dar es salaam na mkuu wa wakuu wa mikoa yote alikuwa sahihi aliposema hakuna mchagga mwenye moyo wa kujitoa kama mzee Mengi.
Kipindi Lowasa anajitengeneza mazingira ya kugombea urais alikuwa anamwaga pesa kama mchanga. Sijui kapotelea wapi safari hiiInawezekana ila Mzee Mengi sio kwa upande wa wachaga tu hadi kwa taifa alikua mtanzania mwenye moyo wa kujitoa kama Mzee Mengi. Watu wasiojiweza na wahitaji watamkumbuka sana.
Unaona mm nafanana nao? Mm mwenyewe nahitaji kuchangiwaMleta mada changia na wewe tuone. Kabla ya kutoa msaada lazima uiombee hiyo sadaka. Naona watu wanatoa pesa tu. Je zitawafikia walengwa. Nibora kununua machupa ya spirit na manguo yakuvaa wahudumu wa corona ndio uwape awamu ya tano ila pesa?
Wametoa lini?Wewe umetoa kwa uwezo wako? Usimpangie mtu jinsi ya kutumia pesa yake. Plus wameshatoa michango mingi tu.
Hata nikitoa utajua?Mkuu we umetoa kiasi gani?usimpangie mtu kisa ni celebrity, hata we unaweza kutoa msaada sanitizer 10.
Huwezi kujua bajeti ya mtu labda ameinvest sana hana hela au amechukua mkopo.
♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Asaivi mtawataja na kina OntarioPia mabilionea wa Qnet, Aim global na forever living tunawategemea kwenye hili janga
Mo kashatoa ngap mpaka sasa? Na anatengeneza kila kitu sanitizer na sabuni lakini hajatoaInawezekana ila Mzee Mengi sio kwa upande wa wachaga tu hadi kwa taifa alikua mtanzania mwenye moyo wa kujitoa kama Mzee Mengi. Watu wasiojiweza na wahitaji watamkumbuka sana.
Hajafikia level hizoKwamba Alikiba hana ukubwa huo mpaka hakumbukwi kwenye maswala kama haya?
Wewe umeshatoa kuasi gani? Kwa mamlaka gani wewe uliyonayo mpaka uje uwasemee huku? Huo ni wivu tu,Wao walitakiwa waonyeshe mfano na kuamsha ushawishi kwa mastaa wengi
Sent using Jamii Forums mobile app