Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,404
- 15,873
Wakuu habari zenu!
Kuna wimbo mmoja R.Kelly ameutoa unaitwa 'I Admit humo ndani anajutia aliyoyafanya na kujaribu kueleza dunia ukweli wa kile kinachoendelea juu yake.
Ningependa kuwaasa wasanii wa kibongo wale wa kiume hasa bongomovie mnajijua acheni haya mambo ya kupenda vibinti vidogo mtakuja kuumbuka siku ya siku shauri yenu. Msije sema hamkuaswa mapema.'
Kuna wimbo mmoja R.Kelly ameutoa unaitwa 'I Admit humo ndani anajutia aliyoyafanya na kujaribu kueleza dunia ukweli wa kile kinachoendelea juu yake.
Ningependa kuwaasa wasanii wa kibongo wale wa kiume hasa bongomovie mnajijua acheni haya mambo ya kupenda vibinti vidogo mtakuja kuumbuka siku ya siku shauri yenu. Msije sema hamkuaswa mapema.'