Rise-up
Member
- Oct 24, 2016
- 23
- 11
Mambo,
Hapa katikati kumeibuka tuzo nyingi tu kwa wasanii wetu wa nyumbani kwa mfano InstAwards, sasa hawa wasaniii wamekuwa wakiomba kura kila siku wamesahau kuwa kazi nzuri ndo inafanya upigiwe kura.
Hata tuzo za kimataifa wasanii wanatumia muda mwingi kuomba kula na kuacha kufanya kazi nzuri.
My take: Wasanii na watu maarufu tumieni jaribuni kufanya vitu vizuri mtapata hizo tuzo na mwache kuomba omba kama machokora wa tuzo.
Hapa katikati kumeibuka tuzo nyingi tu kwa wasanii wetu wa nyumbani kwa mfano InstAwards, sasa hawa wasaniii wamekuwa wakiomba kura kila siku wamesahau kuwa kazi nzuri ndo inafanya upigiwe kura.
Hata tuzo za kimataifa wasanii wanatumia muda mwingi kuomba kula na kuacha kufanya kazi nzuri.
My take: Wasanii na watu maarufu tumieni jaribuni kufanya vitu vizuri mtapata hizo tuzo na mwache kuomba omba kama machokora wa tuzo.