Cecil Mwambe: Ninakwenda kuuangusha mbuyu kwa shoka moja tu

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,616
141,450
Mgombea nafasi ya mwenyekiti wa Chadema taifa mh Cecil Mwambe amesema leo anakwenda kupiga shoka moja tu na mbuyu utakuwa chini.

Mwambe ambaye ni mbunge wa Ndanda amesisitiza ili kuuangusha mbuyu hakuhitaji mbwembwe nyingi bali pigo moja tena pigo takatifu. Kumbukeni kisa cha Daudi na Goliati, amemalizia.

Nawatakia Chadema uchaguzi wa amani.

Maendeleo hayana vyama!
 
Hii ni mbinu ya kufanya ionekane kulikuwa na uchaguzi lakini ukweli ni kwamba mshindi anajulikana, kitakachofanyika ni kumpigia kura kidogo ionekana kulikuwa na uchaguzi kwenye ushindani ili tuambiwe kwenye chama chetu kuna demokrasia na hata huyo Mwambe analifahamu hilo ila anajibalaguza tu!

Hivi katika hali ya kawaida na kelele zote za watu kwamba Mbowe ni jabali wa kutuvusha Leo hii akapigiwe kura huyo mwanamama?
Acheni utani na akili za watu, nyie nendeni mkatimize mpango lakini tunajua ni uchaguzi hewa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakwenda kujiabishe tu wewe pale huna chako! umekaa CDM miaka mingapi? Umefanya nini? Kwanza tunajua baada ya kuangushwa vby sana leo utarudi kule ulikonywea sumu.
 
Hii ni mbinu ya kufanya ionekane kulikuwa na uchaguzi lakini ukweli ni kwamba mshindi anajulikana, kitakachofanyika ni kumpigia kura kidogo ionekana kulikuwa na uchaguzi kwenye ushindani ili tuambiwe kwenye chama chetu kuna demokrasia na hata huyo Mwambe analifahamu hilo ila anajibalaguza tu!

Hivi katika hali ya kawaida na kelele zote za watu kwamba Mbowe ni jabali wa kutuvusha Leo hii akapigiwe kura huyo mwanamama?
Acheni utani na akili za watu, nyie nendeni mkatimize mpango lakini tunajua ni uchaguzi hewa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa upeo finyu wako, uchaguzi huwa wa rational 50/50 labda?

Je wewe hapo ulipo na marehemu Nyerere mgombee ukipata kura yako pekeyako inakuwa sio uchaguzi?

Kitu ulichojionyesha mosi, una shule kidogo ila ni mwanaCCM kindakindaki maana huko huwa akili zipo likizo!
 
Kwa upeo finyu wako, uchaguzi huwa wa rational 50/50 labda?

Je wewe hapo ulipo na marehemu Nyerere mgombee ukipata kura yako pekeyako inakuwa sio uchaguzi?

Kitu ulichojionyesha mosi, una shule kidogo ila ni mwanaCCM kindakindaki maana huko huwa akili zipo likizo
HUYO HATA AKIGOMBEA UWENYEKITI WA FAMILIA YAKE HAPATI
 
Vipi mbuyu umeanguka? sisi huku kijijini nanjilinji bado hatujapata matokeo ya uchaguzi wa CDM.
 
Back
Top Bottom