SPINE
JF-Expert Member
- Dec 11, 2017
- 1,062
- 1,136
Timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 20 (Ngorongoro Heroes) wanakutana na vijana wenzao wa nchini Sudan katika mtanange wa nusu fainali ya Cecafa U20 2019. Mchezo huo unapigwa sasa uwanja wa Pece-Stadium, Gulu . Mungu ibariki Ngorongoro heroes, mungu ibariki Tanzania.
Mchezo huo unapatikana online FUFA TV......link hii hapa chini
Mchezo huo unapatikana online FUFA TV......link hii hapa chini