CDM,Wanaharakati, wanavyuo tuacheni CCM tujadili mgombea wetu 2015 tafadhali

the mkerewe

JF-Expert Member
Nov 16, 2010
232
14
Ndugu wanachama wenzangu wa CCM
Ni kweli mambo yanatuwia magumu kwenye ulingo wa siasa, tunaitaji kada CCM damudam wa mwaka 2015.
Samwel Sitta+Mwakyembe sio makada asilia.HAWATUFAI KWA CHAMA.
Mim nadhan ni LOWASSA PEKEE ANAYEWEZA KUSIMIKWA KUWA RAHISI 2015 bcs:
1.Chama kinaitaji mchapa kazi na sio mchapa maneno (PINDA)
2.Hamna ushaidi wa kimahakama kumuhukumu Lowassa, PINDA kwa sasa
ameshachafuka mbele ya umma considering JK kasema hataki Dowans
walipwe
3.Lowassa hana rafiki wa kudumu ukimkorofisha lazima akulipue (si mnafiki)
4. Vijana wanaipenda CDM kwa sababu CCM imeshindwa kudeliver services kitu ambacho Lowassa ni bingwa.
My take: if LOWASSA ATAKUWA RAIS 2015 nchi itasonga na vijana wataanza tena kurudi CCM .lazima tufanye maamuzi magumu ya kumsimamisha mtu asiye na woga LOWASSA .Au ni nani mumtakaye na kwa nini?
 
Ndugu wanachama wenzangu wa CCM
Ni kweli mambo yanatuwia magumu kwenye ulingo wa siasa, tunaitaji kada CCM damudam wa mwaka 2015.
Samwel Sitta+Mwakyembe sio makada asilia.HAWATUFAI KWA CHAMA.
Mim nadhan ni LOWASSA PEKEE ANAYEWEZA KUSIMIKWA KUWA RAHISI 2015 bcs:
1.Chama kinaitaji mchapa kazi na sio mchapa maneno (PINDA)
2.Hamna ushaidi wa kimahakama kumuhukumu Lowassa, PINDA kwa sasa
ameshachafuka mbele ya umma considering JK kasema hataki Dowans
walipwe
3.Lowassa hana rafiki wa kudumu ukimkorofisha lazima akulipue (si mnafiki)
4. Vijana wanaipenda CDM kwa sababu CCM imeshindwa kudeliver services kitu ambacho Lowassa ni bingwa.
My take: if LOWASSA ATAKUWA RAIS 2015 nchi itasonga na vijana wataanza tena kurudi CCM .lazima tufanye maamuzi magumu ya kumsimamisha mtu asiye na woga LOWASSA .Au ni nani mumtakaye na kwa nini?

:A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down: crap
 
Nimekuwa nikichunguza hoja zinavyochangiwa humu ndani na mawazo yanavyotolewa toka mwaka jana. Nkawa nawavumilia sana wenye mawazo kama haya. Sijui wanashida gani, au kichwan n tope. Mmm lakn uhuru wa kuongea
 
Nimekuwa nikichunguza hoja zinavyochangiwa humu ndani na mawazo yanavyotolewa toka mwaka jana. Nkawa nawavumilia sana wenye mawazo kama haya. Sijui wanashida gani, au kichwan n tope. Mmm lakn uhuru wa kuongea
wewe kama huwezi kusema yupi akufaaye kwa CCM 2015 ndio tope mwenyewe.UNASHINDWAJE KUPENDEKEZA JINA NA SABABU AU MPAKA apate hoja kutoka kwa SLAA.
 
..RAHISI 2015..
mbona unaogopa mbawa zako mwenyewe? Rais wa CCM au TZ mpk acjadliwe na wengne?
eti LOWASA????
 
Ndugu wanachama wenzangu wa CCM
Ni kweli mambo yanatuwia magumu kwenye ulingo wa siasa, tunaitaji kada CCM damudam wa mwaka 2015.
Samwel Sitta+Mwakyembe sio makada asilia.HAWATUFAI KWA CHAMA.
Mim nadhan ni LOWASSA PEKEE ANAYEWEZA KUSIMIKWA KUWA RAHISI 2015 bcs:
1.Chama kinaitaji mchapa kazi na sio mchapa maneno (PINDA)
2.Hamna ushaidi wa kimahakama kumuhukumu Lowassa, PINDA kwa sasa
ameshachafuka mbele ya umma considering JK kasema hataki Dowans
walipwe
3.Lowassa hana rafiki wa kudumu ukimkorofisha lazima akulipue (si mnafiki)
4. Vijana wanaipenda CDM kwa sababu CCM imeshindwa kudeliver services kitu ambacho Lowassa ni bingwa.
My take: if LOWASSA ATAKUWA RAIS 2015 nchi itasonga na vijana wataanza tena kurudi CCM .lazima tufanye maamuzi magumu ya kumsimamisha mtu asiye na woga LOWASSA .Au ni nani mumtakaye na kwa nini?

agree, lakini pia rekodi yake kwa upenzi wa shekeli inatisha, mhakikishe dili za shekeli hazikatishi mbele yake
 
Hao vijana wa kurudi kwenye chama mfu utawapata wapi? Au unafikri vijana waote wana akili za kushikiwa kama UVCCM? La kuvunda halina ubani , CCM imeoza haifai walioko huko wako kwa masilahi binafsi.
 
Kwa kweli karibu sana upatie, lakini umekosea kidogo. Katibu wetu mkuu hukumweka kwenye lisiti. Akiongea anapendeza, vijana wanamkubali, wazee wa DSM wanamkubali, Kampeni anaziweza, anachesha sana. Adumu.

Hana skandali ya pesa na anaweza kuwakwaza wapinzania, hapo vipi?
 
kwa hoja ya LOWASA na kama ndie peee mliebaki nae basi ktk kpnd cha maisha yake sasa CCM kimeishiwa vibaya
 
..RAHISI 2015..
mbona unaogopa mbawa zako mwenyewe? Rais wa CCM au TZ mpk acjadliwe na wengne?
eti LOWASA????
siogopi mbawa zangu ila nimewataka wanaccm manake nikiwajumlisha nyie kwa LOWASSA ntaanza kejeli.
mfano ningesema LOWASSA rais 2015 NINGESHAPOKEA MATUSI YA WANA CDM.

ila tafadhali siasa sio uadui unaweza kutusaidia nani atufaaye CCM 2015
 
Kwa kweli karibu sana upatie, lakini umekosea kidogo. Katibu wetu mkuu hukumweka kwenye lisiti. Akiongea anapendeza, vijana wanamkubali, wazee wa DSM wanamkubali, Kampeni anaziweza, anachesha sana. Adumu.

Hana skandali ya pesa na anaweza kuwakwaza wapinzania, hapo vipi?
SASA NITAJIE MBADALA WA LOWASSA na unipe sababu sio kubaki kukataa tu wewe vipi bana ndugu hueleweki.

 
Ndugu wanachama wenzangu wa CCM
Ni kweli mambo yanatuwia magumu kwenye ulingo wa siasa, tunaitaji kada CCM damudam wa mwaka 2015.
Samwel Sitta+Mwakyembe sio makada asilia.HAWATUFAI KWA CHAMA.
Mim nadhan ni LOWASSA PEKEE ANAYEWEZA KUSIMIKWA KUWA RAHISI 2015 bcs:
1.Chama kinaitaji mchapa kazi na sio mchapa maneno (PINDA)
2.Hamna ushaidi wa kimahakama kumuhukumu Lowassa, PINDA kwa sasa
ameshachafuka mbele ya umma considering JK kasema hataki Dowans
walipwe
3.Lowassa hana rafiki wa kudumu ukimkorofisha lazima akulipue (si mnafiki)
4. Vijana wanaipenda CDM kwa sababu CCM imeshindwa kudeliver services kitu ambacho Lowassa ni bingwa.
My take: if LOWASSA ATAKUWA RAIS 2015 nchi itasonga na vijana wataanza tena kurudi CCM .lazima tufanye maamuzi magumu ya kumsimamisha mtu asiye na woga LOWASSA .Au ni nani mumtakaye na kwa nini?

Ningeshangilia sana Lowassa angeteuliwa na CCM ila Chadema tushinde kirahisi.
 
Ndugu wanachama wenzangu wa CCM
Ni kweli mambo yanatuwia magumu kwenye ulingo wa siasa, tunaitaji kada CCM damudam wa mwaka 2015.
Samwel Sitta+Mwakyembe sio makada asilia.HAWATUFAI KWA CHAMA.
Mim nadhan ni LOWASSA PEKEE ANAYEWEZA KUSIMIKWA KUWA RAHISI 2015 bcs:
1.Chama kinaitaji mchapa kazi na sio mchapa maneno (PINDA)
2.Hamna ushaidi wa kimahakama kumuhukumu Lowassa, PINDA kwa sasa
ameshachafuka mbele ya umma considering JK kasema hataki Dowans
walipwe
3.Lowassa hana rafiki wa kudumu ukimkorofisha lazima akulipue (si mnafiki)
4. Vijana wanaipenda CDM kwa sababu CCM imeshindwa kudeliver services kitu ambacho Lowassa ni bingwa.
My take: if LOWASSA ATAKUWA RAIS 2015 nchi itasonga na vijana wataanza tena kurudi CCM .lazima tufanye maamuzi magumu ya kumsimamisha mtu asiye na woga LOWASSA .Au ni nani mumtakaye na kwa nini?

Ha ha haaa... Huyo huyo.
 
Sieleweki kwa vipi, Katibu mkuu ameongoza uchaguzi mkuu uliopita na tumeshinda kwa kishindo, hali ilikuwa ngumu kweli. likini alisimama kidete tukashinda. Sasa ndio mastermind wa kuleta mabadiliko makubwa ndani ya chama. Kumbuka ni Katubu huyo ndiye aliyempa taabu nyingi Dr, hadi akashindwa kampeni. Sasa wewe unasema sieleweki. huyo wa kwako alishajuizulu mambo ya siasa, ubunge unamtosha kama yule nanihii wa TLP.
 
Kama CCM wanataka kuangukia utosi basi wampitishe Lowasa 2015. Jamaa hatakuwa na pakutokea.
 
Kama mwanachama wa ccm, Lowassa hawezi kupita

Anataka uongozi uongozi haumtaki

Sababu, ubinafsi, uchoyo above all mlafi (anakula kwa pupa)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom