the mkerewe
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 232
- 14
Ndugu wanachama wenzangu wa CCM
Ni kweli mambo yanatuwia magumu kwenye ulingo wa siasa, tunaitaji kada CCM damudam wa mwaka 2015.
Samwel Sitta+Mwakyembe sio makada asilia.HAWATUFAI KWA CHAMA.
Mim nadhan ni LOWASSA PEKEE ANAYEWEZA KUSIMIKWA KUWA RAHISI 2015 bcs:
1.Chama kinaitaji mchapa kazi na sio mchapa maneno (PINDA)
2.Hamna ushaidi wa kimahakama kumuhukumu Lowassa, PINDA kwa sasa
ameshachafuka mbele ya umma considering JK kasema hataki Dowans
walipwe
3.Lowassa hana rafiki wa kudumu ukimkorofisha lazima akulipue (si mnafiki)
4. Vijana wanaipenda CDM kwa sababu CCM imeshindwa kudeliver services kitu ambacho Lowassa ni bingwa.
My take: if LOWASSA ATAKUWA RAIS 2015 nchi itasonga na vijana wataanza tena kurudi CCM .lazima tufanye maamuzi magumu ya kumsimamisha mtu asiye na woga LOWASSA .Au ni nani mumtakaye na kwa nini?
Ni kweli mambo yanatuwia magumu kwenye ulingo wa siasa, tunaitaji kada CCM damudam wa mwaka 2015.
Samwel Sitta+Mwakyembe sio makada asilia.HAWATUFAI KWA CHAMA.
Mim nadhan ni LOWASSA PEKEE ANAYEWEZA KUSIMIKWA KUWA RAHISI 2015 bcs:
1.Chama kinaitaji mchapa kazi na sio mchapa maneno (PINDA)
2.Hamna ushaidi wa kimahakama kumuhukumu Lowassa, PINDA kwa sasa
ameshachafuka mbele ya umma considering JK kasema hataki Dowans
walipwe
3.Lowassa hana rafiki wa kudumu ukimkorofisha lazima akulipue (si mnafiki)
4. Vijana wanaipenda CDM kwa sababu CCM imeshindwa kudeliver services kitu ambacho Lowassa ni bingwa.
My take: if LOWASSA ATAKUWA RAIS 2015 nchi itasonga na vijana wataanza tena kurudi CCM .lazima tufanye maamuzi magumu ya kumsimamisha mtu asiye na woga LOWASSA .Au ni nani mumtakaye na kwa nini?