Kyindokyakombe
Member
- May 1, 2012
- 95
- 96
Kilichotokea kule ARUSHA na SUMBAWANGA kilikuwa kama ni maigizo tu lengo lilikuwa kumkamata na kumtia adabu LEMA so wakajifanya nao wapoteze jimbo la sumbawanga.Ninaimani LEMA ndiye aliyekuwa anatafutwa ila akatafutiwa kafara la kuondoka naye si ajabu hakuna matokeo mengine yatatenguliwa.