CDM mlitangaza kuwa mtaandama kushinikiza baraza la mawaziri lifanyiwe mabadiliko? JK waacha chini Ngereja, Mponda, Chami, Nundu, Mkulo na Maige; Tuoeni kauli rasmi; maandamano yamekufa kifo cha mende ama?
CDM mlitangaza kuwa mtaandama kushinikiza baraza la mawaziri lifanyiwe mabadiliko? JK waacha chini Ngereja, Mponda, Chami, Nundu, Mkulo na Maige; Tuoeni kauli rasmi; maandamano yamekufa kifo cha mende ama?
Lengo la Maandamano ni kutaka baraza la mawaziri libadilishwe, mawaziri walio na tuhuma wapigwe chini then wachukuliwe hatua za kisheri. Hatua ya kwanza imeshafanyika na sasa tunasubiri hatua ya pili ya kufanya uchunguzi na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria. Tutafanya maandamano kama hatua ya pili haitachuliwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.