kibunange
Senior Member
- Feb 18, 2015
- 165
- 148
Napenda niandike kwa uchache sana, ni wakati sasa mbowe kutafakari sana nafasi ya Katibu Mkuu wa CDM..ni bora wamuweke Kigaila ndio mwenye uwezo wa kukivusha chama kwenye wakati huu Mgumu.
Katibu mkuu amelala uzingizi wa pono wakati wezi wanavunja nyumba kwajili ya kuiba mali.
Wapinzani wasife moyo huu ndio wakati mzuri sana kwao kujipima na kujipambanua. Na pia ni wakayi mzuri sana wa ushindi. Wakati adui anatumia nguvu wewe tumia akili.
Buena Fortuna
Katibu mkuu amelala uzingizi wa pono wakati wezi wanavunja nyumba kwajili ya kuiba mali.
Wapinzani wasife moyo huu ndio wakati mzuri sana kwao kujipima na kujipambanua. Na pia ni wakayi mzuri sana wa ushindi. Wakati adui anatumia nguvu wewe tumia akili.
Buena Fortuna