CDM imejifunza nini toka kwa NCCR pamoja na CUF?

Going Concern

JF-Expert Member
Jul 25, 2011
1,071
1,211
Nisingependa kuona CDM kinakuja kupoteza jina lake kama ilivyo NCCR(1995) walikua moto sana, gafla wakaja CUF (2000) ambao sasa hivi limebaki jina tu. 2010---todate CDM nizaidi ya moto,

je, tumejifunza nini wana CDM kutoka NCCR na CUF? wapi walikosea, wapi walifanya vizuri na nini sababu ya kuanguka kifo cha mende?
 
Ni kuelewa tu kuwa CHADEMA ni Mbowe na Mbowe ndiyo CHADEMA.  Kilichotokea kwa NCCR Mageuzi ni kugombea madaraka ndani ya chama kulikopelekea kupotea kwa akina Masumbuko Lamwai.  Hivi karibuni tumeshuhudia vurugu ndani ya vyama zinazotokana na kugombea madaraka.  Hamad Rashid amefukuzwa CUF kwa kuonyesha nia tu ya kutaka kugombea ukatibu mkuu wa chama akasahau kuwa nafasi hiyo ni ya maalimu Seif Sharrif Hamad tu, pia tumeshuhudia kufukuzwa kwa David Kafulila kisa tu anamhujumu James Mbatia baada ya kusahau kuwa Mbatia ndiyo NCCR Mageuzi.  Huko CDM ili pia vurugu hizo zipo japo huwa hamtaki kukubali ukweli. 
 
Ni kuelewa tu kuwa CHADEMA ni Mbowe na Mbowe ndiyo CHADEMA.  Kilichotokea kwa NCCR Mageuzi ni kugombea madaraka ndani ya chama kulikopelekea kupotea kwa akina Masumbuko Lamwai.  Hivi karibuni tumeshuhudia vurugu ndani ya vyama zinazotokana na kugombea madaraka.  Hamad Rashid amefukuzwa CUF kwa kuonyesha nia tu ya kutaka kugombea ukatibu mkuu wa chama akasahau kuwa nafasi hiyo ni ya maalimu Seif Sharrif Hamad tu, pia tumeshuhudia kufukuzwa kwa David Kafulila kisa tu anamhujumu James Mbatia baada ya kusahau kuwa Mbatia ndiyo NCCR Mageuzi.  Huko CDM ili pia vurugu hizo zipo japo huwa hamtaki kukubali ukweli. 

Ni mawazo yako mkuu,lakini sababu ya CDM Kuwa imara ni mshikamano na kuwa chama chenye wanachama wengi wanaojua elimu ya uraia jumlisha na upeo wa great thinkers ambao ni wengi zaidi na hivyo kuwa chama pekee cha siasa badala ya ccm kilichopenya kila kitongoji[HIVYO KINA MIZIZI].KUHUSU M/KITI KAMANDA MBOWE NI KWELI KWAMBA NI JEMBE NDIO MAANA ALIAMINIWA KUPEWA NAFASI STAHILI
 
ni kuelewa tu kuwa chadema ni mbowe na mbowe ndiyo chadema.  kilichotokea kwa nccr mageuzi ni kugombea madaraka ndani ya chama kulikopelekea kupotea kwa akina masumbuko lamwai.  hivi karibuni tumeshuhudia vurugu ndani ya vyama zinazotokana na kugombea madaraka.  hamad rashid amefukuzwa cuf kwa kuonyesha nia tu ya kutaka kugombea ukatibu mkuu wa chama akasahau kuwa nafasi hiyo ni ya maalimu seif sharrif hamad tu, pia tumeshuhudia kufukuzwa kwa david kafulila kisa tu anamhujumu james mbatia baada ya kusahau kuwa mbatia ndiyo nccr mageuzi.  huko cdm ili pia vurugu hizo zipo japo huwa hamtaki kukubali ukweli. 

wewe kweli kenge.
 
Back
Top Bottom