CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
CDM huko Mjengoni tunaomba msimamo wa haya MAFAO YA NSSF/PPF NA KAZALIKA, make haiingii akilini kwamba mimi nimefanya kazi mwaka mmoja tu na Mafao yangu yanathamani ya shilingi laki 3 nisubirie hadi nifikie miaka 50, JE KWA WAKATI HUO HAYA MAFAO YANGU YA SH LAKI 3 YATAKUA NA THAMANI GANI?
Tunaomba MSIMAMO WA CHAMA JUU YA HILI MAKE HAIINGII AKILINI KWAMBA MIMI LAKI 3 ZANGU NIZISUBIRIE HADI BAADA YA MIAKA 50
Tunaomba MSIMAMO WA CHAMA JUU YA HILI MAKE HAIINGII AKILINI KWAMBA MIMI LAKI 3 ZANGU NIZISUBIRIE HADI BAADA YA MIAKA 50