nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,515
- 20,005
Huyu bosi wa jeshi anashangaza sana. Kila anapofungua kinywa chake na kuongea na umma basi ujue ataongea maneno yasiyo ya kiweledi na yanayokinzana na haiba ya kijeshi.
Leo nimemuona kwenye chombo kimoja cha habari akitoa hotuba kanisani alipohudhuria misa huko kanda ya ziwa.
Alianza vizuri kwa kuwaombea marehemu walazwe mahali pema,akaeleza jinsi walivyofanikiwa kukiopoa kivuko cha MV Nyerere kwa ustadi mkubwa lakini mwisho mwisho kama kawaida yake akachomekea siasa zake uchwara,moja ya kauli ni kwamba wanajeshi wakipewa kazi wanaifanya kikwelikweli na wakishindwa maana yake serikali imeshindwa na serikali ikishindwa rais anaweza kupinduliwa. Hivi hii kauli ilikuwa necessary?!!!!!
Mabeyo hana kipaji cha kudeliver speeches,hii kazi amuachie chief of staff au msemaji yoyote wa jeshi anayeweza kupangilia maneno bila kuingiza siasa uchwara
Mabeyo hana flow nzuri katika uongeaji wake na inawezekana ndiko kunakomfanya achomeke maneno ambayo nahisi hata yeye mwenyewe anakuwa hakupanga kuyaongea
Ajifunze kwa wenzie waliopita hawakuwa watu wa vyombo vya habari,CDF hutakiwi kutokea tokea sana kwenye vyombo vya habari maana tunaamini nyinyi ni watu ngangari na sio wa kiki na tunawaheshimu kwa hilo huku mitaani.
Leo nimemuona kwenye chombo kimoja cha habari akitoa hotuba kanisani alipohudhuria misa huko kanda ya ziwa.
Alianza vizuri kwa kuwaombea marehemu walazwe mahali pema,akaeleza jinsi walivyofanikiwa kukiopoa kivuko cha MV Nyerere kwa ustadi mkubwa lakini mwisho mwisho kama kawaida yake akachomekea siasa zake uchwara,moja ya kauli ni kwamba wanajeshi wakipewa kazi wanaifanya kikwelikweli na wakishindwa maana yake serikali imeshindwa na serikali ikishindwa rais anaweza kupinduliwa. Hivi hii kauli ilikuwa necessary?!!!!!
Mabeyo hana kipaji cha kudeliver speeches,hii kazi amuachie chief of staff au msemaji yoyote wa jeshi anayeweza kupangilia maneno bila kuingiza siasa uchwara
Mabeyo hana flow nzuri katika uongeaji wake na inawezekana ndiko kunakomfanya achomeke maneno ambayo nahisi hata yeye mwenyewe anakuwa hakupanga kuyaongea
Ajifunze kwa wenzie waliopita hawakuwa watu wa vyombo vya habari,CDF hutakiwi kutokea tokea sana kwenye vyombo vya habari maana tunaamini nyinyi ni watu ngangari na sio wa kiki na tunawaheshimu kwa hilo huku mitaani.