johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,902
- 141,845
Mkuu wa majeshi nchini Jenerali Mabeyo ameagizi vikosi vya JWTZ kuweka akiba ya chakula kwa ajili ya jeshi na taifa kwa ujumla.
Mabeyo amesema nchi mikikosa chakula inakuwa na njaa na panapoingia njaa Amani hutoweka.
Chanzo: ITV habari
Mabeyo amesema nchi mikikosa chakula inakuwa na njaa na panapoingia njaa Amani hutoweka.
Chanzo: ITV habari