barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,323
- 29,584
8% kubwa sana...Msiwe wajinga kiasi hiki..waTanzania wanao kwenda Ulaya ni kama 8% tu hapa nchini,kitu kina madhara mamtu yameng'ang'ania tu
Pumbavu kabisa
Kwa idadi ya sensa milioni 56 ya watanzania...asilimia nane ni milioni nne...wanaoenda nje ya tz tu na sio ulaya hawafiki milioni nne kwa mwaka...