Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
AFRIKA CDC: VIPIMO VYA #CORONAVIRUS VINAVYOTUMIKA TANZANIA VINAFANYA KAZI VIZURI
Mkuu wa Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika (Afrika CDC) amenukuliwa na Reuters akipinga madai ya Rais Magufuli kuwa huenda vipimo vya #CoronaVirus nchini vina shida ya kiufundi
Dkt. John Nkengasong amesema kwa ufahamu wao, vipimo hivyo vilivyotolewa na Kituo hicho kwa kushirikiana na Taasisi ya Bilionea wa China, Jack Ma vinafanya kazi vizuri
Siku chache zilizopita, Rais Magufuli alisema kuna uwezekano vipimo hivyo vina shida ya kiufundi na kuagiza Maabara ya Afya ya Taifa ambayo imekuwa ikipima #COVID19 kuchunguzwa baada ya sampuli za Mbuzi na Papai kukutwa na maambukizi
==========
ADDIS ABABA (Reuters) - The head of the Africa Centres for Disease Control and Prevention (Africa CDC) on Thursday rejected an assertion by Tanzania’s president that his nation’s coronavirus tests are faulty.
On Sunday, Tanzanian President John Magufuli said the imported coronavirus test kits were faulty after they had returned positive results on a goat and a pawpaw. The next day, the head of the national health laboratory in charge of testing was suspended.
“The tests that Tanzania is using we know they are working very well,” Dr. John Nkengasong told journalists on a conference call.
The Africa CDC, along with the Jack Ma Foundation, a charity run by a Chinese billionaire, supplied the tests, Nkengasong said.
The Tanzanian Health Ministry and government spokesman could not immediately be reached for comment.
Tanzania, where places of worship remain open, has at least 480 confirmed cases and 18 deaths, the fourth highest case load in Eastern Africa. But the data is from Sunday, the most recent day the government released figures.
Almost all other African nations release daily reports on the latest tallies on infections, fatalities and recoveries. Tanzania’s lag has prompted criticism from the country’s opposition that the government is being secretive.
John Nkengasong, Director of the Africa Centres for Disease Control and Prevention attends a news conference on the Africa Centres for Disease Control and Prevention Ebola Response in the Democratic Republic of the Congo (DRC) at the United Nations in Geneva, Switzerland, May 22, 2018.
Mkuu wa Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika (Afrika CDC) amenukuliwa na Reuters akipinga madai ya Rais Magufuli kuwa huenda vipimo vya #CoronaVirus nchini vina shida ya kiufundi
Dkt. John Nkengasong amesema kwa ufahamu wao, vipimo hivyo vilivyotolewa na Kituo hicho kwa kushirikiana na Taasisi ya Bilionea wa China, Jack Ma vinafanya kazi vizuri
Siku chache zilizopita, Rais Magufuli alisema kuna uwezekano vipimo hivyo vina shida ya kiufundi na kuagiza Maabara ya Afya ya Taifa ambayo imekuwa ikipima #COVID19 kuchunguzwa baada ya sampuli za Mbuzi na Papai kukutwa na maambukizi
==========
ADDIS ABABA (Reuters) - The head of the Africa Centres for Disease Control and Prevention (Africa CDC) on Thursday rejected an assertion by Tanzania’s president that his nation’s coronavirus tests are faulty.
On Sunday, Tanzanian President John Magufuli said the imported coronavirus test kits were faulty after they had returned positive results on a goat and a pawpaw. The next day, the head of the national health laboratory in charge of testing was suspended.
“The tests that Tanzania is using we know they are working very well,” Dr. John Nkengasong told journalists on a conference call.
The Africa CDC, along with the Jack Ma Foundation, a charity run by a Chinese billionaire, supplied the tests, Nkengasong said.
The Tanzanian Health Ministry and government spokesman could not immediately be reached for comment.
Tanzania, where places of worship remain open, has at least 480 confirmed cases and 18 deaths, the fourth highest case load in Eastern Africa. But the data is from Sunday, the most recent day the government released figures.
Almost all other African nations release daily reports on the latest tallies on infections, fatalities and recoveries. Tanzania’s lag has prompted criticism from the country’s opposition that the government is being secretive.
John Nkengasong, Director of the Africa Centres for Disease Control and Prevention attends a news conference on the Africa Centres for Disease Control and Prevention Ebola Response in the Democratic Republic of the Congo (DRC) at the United Nations in Geneva, Switzerland, May 22, 2018.