msemakweli2
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 1,627
- 1,879
Jamani naomba nitoe dukuduku langu ni mwezi karibia wa tano huu nafuatilia kibali cha ujenzi hapa CDA dodoma,ila sijafanikiwa,kiwanja changu kimepimwa,michoro imekamilika,kila documents inayotakiwa nimeambatanisha,kiwanja hakidaiwi,nimelipia na malipo kwaajili ya kibali cha ujenzi Tshs.49,500 lakini mpaka leo file halitoki,ukienda wanakwambia lipo kwa huyu,mara kwa yule mara halionekani,ni kwanini wanakuwa hivi?nawaza mimi kiwanja changu kimepimwa na kina documents zote,vp wale ambao viwanja havijapimwa?
Hivi mwenye nchi akigundua utumbo wanaoufanya hawa wataendelea kuwepo kweli? System yao ya uhifadhi wa documents ni mbaya kabisa na hawana coordination katika kazi,huyu anapitisha file,linafika kwa mwingine anaweka marekebisho,mnachelesha maendeleo ya DODOMA bila sababu ya msingi.
Hivi mwenye nchi akigundua utumbo wanaoufanya hawa wataendelea kuwepo kweli? System yao ya uhifadhi wa documents ni mbaya kabisa na hawana coordination katika kazi,huyu anapitisha file,linafika kwa mwingine anaweka marekebisho,mnachelesha maendeleo ya DODOMA bila sababu ya msingi.