Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,333
- 3,896
Jamani nipo kwenye ndoa zaidi ya miaka 10, nilikuwa na package ya cd mbali za ngono na tulikuwa tunafurahia na mywife. Jana nimezikuta zimesagwasagwa...eti zinanichochea niwe na wanawake wengi, je wakuu sijapokonywa haki yangu?