Sasa sijui utasema nini tena kuhusu wakenya ukishajua ya kuwa hao jamaa si wakenya, walikuwa waganda, mganga kutoka UG anafanya yake Mombasa! Neeext!Wakenya tangu mwaka 2005 nilipoanza kufanya kazi nao kwa ukaribu huko Zanzibar ndipo niliwatambua hawana tofauti na Wanaijeria kwa utapeli. Mimi sikuamini hata kidogo hilo tukio mara nilipoliona kwenye mitandao ya nchini Kenya
Wakenya tangu mwaka 2005 nilipoanza kufanya kazi nao kwa ukaribu huko Zanzibar ndipo niliwatambua hawana tofauti na Wanaijeria kwa utapeli. Mimi sikuamini hata kidogo hilo tukio mara nilipoliona kwenye mitandao ya nchini Kenya