Ccm

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
3053796.jpg
 
Igunga.jpg
Chama Cha Mapinduzi(CCM) kupitia aliyekuwa mgombea wake,Dr.Dalali Kafumu(pichani) kimeibuka mshindi katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Igunga mkoani Tabora.Dr.Kafumu ameshinda kwa kupata jumla ya kura 26,488 huku kikifuatiwa kwa karibu na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) kilichojipatia kura 23,260.
 
Jakaya-Kikwete-and-Pinda-framed.jpg
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri Mkuu,Pinda.Ingekuwa picha hii imepigwa jana ningesema bila shaka wanafurahia ushindi wa Igunga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom