Chama Cha Mapinduzi(CCM) kupitia aliyekuwa mgombea wake,Dr.Dalali Kafumu(pichani) kimeibuka mshindi katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Igunga mkoani Tabora.Dr.Kafumu ameshinda kwa kupata jumla ya kura 26,488 huku kikifuatiwa kwa karibu na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) kilichojipatia kura 23,260.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.