Ccm

KAKA A TAIFA

JF-Expert Member
Apr 27, 2011
566
80
Ndipo mahali mbapo ccm ilishinda kwa kishindo
 

Attachments

  • SHULENI LINDI.jpg
    SHULENI LINDI.jpg
    31.8 KB · Views: 261
ndiyo maana kuna umuhimu wa kuangalia pia maana halisi ya majina ya vyama vya siasa kwa mfano.....Chama Cha Mapinduzi (ccM)wanapindua nini?.....wanapindua reaslimali za taifa kuwa za mafisadi?......halafu kinaitwa chama cha wakulima na wafanyakazi kivipi wakati wafanyakazi wananyongwa kupitia kodo kubwa iliyokithili na inayosababishwa na uvivu wa kufikiri wa watawala wetu...cha wakulima kivipi wkt wanapandisha bei kipindi cha kampeni tu ili wapate kura?...........Chama Cha Magamba (CCM), Chama Cha Mafisadi (CCM)-all are meaningless...........kUNA majina mazuri bana....Mfano Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHANDEMA)-vey meaningful...kwa hiyo vyama vingine tunapochagua na haviteni km tunavyotaka kn CCM ni matokeao ya kutofuatilia itikai zao kikamilifu.......................
JAMANI ONDOKENI KWENYE MAPINDUZI YA RASILIMALIU, ONDOKENI KWENYE MAFISADI, ONDOKENI KWENYE MAGAMBA NJOONI KWENYE MAENDELEO NA DEMOKRASIA YA KWELI...AU NINYI HAMTAKI JAMANI?...MUNGU AWAPE NINI SANA....,AGAMBA ZAIDI?.....MAFISADI ZAIDI.....MAPINDUZI ZAIDI? SEMENI HAPANA INATOSHA
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom