NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,460
- 17,284
Mi natarajia Masauni. Ndio chaguo letu sisi wanakisiwandui!
Real?Tumeshakuwa wakoloni weusi dhidi ya Ndugu zetu wa Zanzibar? Mbona mnakosa utu kiasi hiki?!
!
Zanzibar Ni Koloni La Tanganyika. Raisi Wao Anateuliwa Dodoma
Hakuna aliyewahi kupata kura zaidi ya Maalim. Mambo yatafanywa Kijecha Jecha tu.Mbarawa hawezi kupata kura za urais kumzidi Maalum Seif.
Turufu ya CCM ni Hussein Mwinyi.
Real?Tumeshakuwa wakoloni weusi dhidi ya Ndugu zetu wa Zanzibar? Mbona mnakosa utu kiasi hiki?
Kwa hiyo hii siyo JMT tena?
Kwani chadema mmeficha Siri gani?Hivi kwanini siri za ccm zinavuja kibwege sana ? Halafu hilo unalolisena halitoweza kutimia kwa vile ccm itashindwa vibaya sana kwenye uchaguzi huu
Ni ngumu Seif kipewa nchi japo ni mshindi siku zote.
Nina uhakika baada ya uchaguzi utakimbia JF.safari hii ameamua kugawana mbao
Walishakubali matokeo, rais wao anachaguliwa Dodoma.alafu nyie wanzanzibar "maanithi" mpaka Dodoma wakati mna nchi yenu..aarrghh
Zanzibar ya lini ilikuwa inataka viongozi wanaoshinikizwa na kusimikwa na akina mwizukulu?Zanzibar ya sasa haitaki kabisa viongozi wanaoshinikizwa kusimikwa kwa mapenzi ya akina mwizukulu ambao si raia wa Zanzibar!
Ata wewe usikute sio mtanzaniaKwani pia Maalim Seif Sharrif ukimfuatilia Kiundani kabisa Ndugu hasa Chimbuko lake unadhani ni Mtanzania halisi kama tulivyo Mimi na Wewe?
Safari hii punda afe mzigo ufike. Maalim haibiwi hata kura moja ndio kiapo cha Wazenji. Na kama jiwe atarudia makosa ya Ben ya 2001 ya kujifanya mbabe na kuwapeleka vijana wa Vincent basi wanaccm wajiandae kuwa wanaenda kumsalimia weekend kule The Hague.Hakuna aliyewahi kupata kura zaidi ya Maalim. Mambo yatafanywa Kijecha Jecha tu.
Mbona iko wazi tutashinda, kwani upinzani bado upo, haupo kiviilee...Kwa pointi hii nakuunga mkono. LAKINI CCM MWAKA HUU KURUDI MADARAKANI HAPA VISIWANI ZANZIBAR NI NDOTO.
Ndio kulekule tumerudi, ubaguzi, it does not matter upemba au uunguja wote ni Wazanzibari, broo hatuko kwenye isles originality matterMzukulu,
Mbarawa huyu Mpemba?
Ndugu wa Shein?
Kweli Kisonge wamekwisha.
Mpemba aingie tena ikulu ya CCM?
Sent using Jamii Forums mobile app