Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,631
Akina Mzukulu tupo pale mlipo na tutaendelea kuwepo hadi Jumapili ijayo huko Dodoma ila nimesikitishwa mno na Mapendekezo yenu ya Kiuwoga kuwa Mmekubaliana na uliokuwa pia Mtazamo wangu kuwa Profesa Makame Mbarawa awe Isles next CCM Flag bearer kwa mwaka 2020 lakini eti kwa Kumpoza Mzee Mwinyi (Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili) mmeamua kuwa Profesa Makame akiapishwa tu basi amteue Dkt. Hussein Mwinyi kuwa Makamu wa Pili wa Rais huko Kisiwani Zanzibar.
Nimesema kuwa mnaenda kutengeneza mpasuko mkubwa sana ndani ya CCM huko Kisiwani Zanzibar kama kweli mtalazimisha Profesa Mbarawa amteue Dkt. Hussein Mwinyi kuwa Makamu wa Pili wa Rais kwani nina uhakika hata Watoto wa waliokuwa Viongozi huko Zanzibar wa akina Karume na Jumbe nao watahisi Kutengwa kama pia si Kudharauliwa hali ambayo inaweza kutengeneza Uhasama na Mpasuko mkubwa wa Kichama na Kiuongozi ambao utakithiri kabisa Chama cha Mapinduzi huko.
Ushauri wangu Kwenu ni kwamba nimefurahi kuwa Prof Makame Mbarawa atakuwa Rais ila naomba Dkt. Mwinyi asiwe Makamu wa Pili wa Rais.
Nimesema kuwa mnaenda kutengeneza mpasuko mkubwa sana ndani ya CCM huko Kisiwani Zanzibar kama kweli mtalazimisha Profesa Mbarawa amteue Dkt. Hussein Mwinyi kuwa Makamu wa Pili wa Rais kwani nina uhakika hata Watoto wa waliokuwa Viongozi huko Zanzibar wa akina Karume na Jumbe nao watahisi Kutengwa kama pia si Kudharauliwa hali ambayo inaweza kutengeneza Uhasama na Mpasuko mkubwa wa Kichama na Kiuongozi ambao utakithiri kabisa Chama cha Mapinduzi huko.
Ushauri wangu Kwenu ni kwamba nimefurahi kuwa Prof Makame Mbarawa atakuwa Rais ila naomba Dkt. Mwinyi asiwe Makamu wa Pili wa Rais.