Chama cha mapinduzi chazidi kuvuna aibu jijini arusha ni baada ya mikutano yao kukosa watu na mvuto japo jana jioni Mbunge wa CCM alizomewa, leo hii wanafanya mkutano karibu na ngome ya CHADEMA huku zaidi ya magari matatu ya polisi Wakiwalinda Mtela, Shonza Mwigulu msiondoke subirini hadi Jpili mwondoke na mavuno mengi ya aibu"