Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
- Thread starter
- #21
sio kila kitu source.....usikariri....waweza ambiwa na mamayako uyu ndo baba yako then uakaanza kuhoji source....?
asante umemjibu stahili yake
sio kila kitu source.....usikariri....waweza ambiwa na mamayako uyu ndo baba yako then uakaanza kuhoji source....?
Yale yale ya Kombe, mnanikumbusha mbaaali na machungu mengi, haya mambo ya kufananisha watu ni hatari, Luteni Generali Imran Husein Kombe aliuawa na vijana wa usalama wa taifa eti wakimfananisha na jambazi aitwaye White, je ni kweli kuna polisi asiyeifahamu sura ya bosi wake? Napata tabu na roho inauma