Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Haya ndio Maswali mazuri ya kumuuliza Mh. NAPE NNAUYE aliyeweka HABARI ZAKE FACEBOOK kuwa CHADEMA IMEUA
Na Mwengulu Mchemba kwa Kuokota Majambazi kuwasafirisha hadi SINGIDA
CCM - Lazima wawe responsible na UCHAFU WANOFANYA na ndio VIJANA KIKWETE ANATAKA WAONGOZE NCHI???
Kwani mkulu mwenyewe si anafuga majambazi?
Kwani yule jamaa aliyeplan kukamatwa na kuteswa kwa Dr Uli alitokea wapi??