CCM yawataka Wawakilishi wake kushughulikia matatizo ya wananchi badala ya kufanya vikao vya mara kwa mara

Ni sawa! Lakini nasikitika kuwambieni nyinyi Viongozi wa Ccm hawa wabunge, madiwani na Wenyeviti wa vitongoji waliopita bila kuchaguliwa ni ngumu kuelewa hilo. Wako bize wakijiandaa na uchaguzi mwingine ndani ya ccm
🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮
 
Back
Top Bottom