🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮Ni sawa! Lakini nasikitika kuwambieni nyinyi Viongozi wa Ccm hawa wabunge, madiwani na Wenyeviti wa vitongoji waliopita bila kuchaguliwa ni ngumu kuelewa hilo. Wako bize wakijiandaa na uchaguzi mwingine ndani ya ccm
🚮🚮🚮🚮Nchi ya mzinga wa nyuki kila anayejisikia anatoa amri.
🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮Kwani mikusanyiko siyo tishio tena kwa Corona!
🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮Vururu vururu MaCCM nyie ni hovyo kabisa kabisa.
🚮🚮🚮🚮
Pengine ni utoto mkuu unamsumbua, ame ni qoute na mimi huu ujinga sijamwelewa hataWatanganyika hatuja lelewa kwa mipasho ya mtindo huu.