Mtu huyo huyo ndiye mwenyekiti wa baraza la mawaziri ambalo lilioona inafaa kuongeza kodi kwenye mafuta ya taa na mtu huyo huyo akiwa mwenyekiti wa chama anaona haifai kuongeza kodi kwenye mafuta ya taa. Kwa harakaharaka unaweza kusema huu ni unafiki wa kupindukia.....lakini mimi naona ni dharau ama matusi kwa watanzania hasa wa kipato cha chini.Kwa hiyo JK ameilalamikia serikali kuwa bei ya mafuta ni kubwa?? Hii ni kali ya mwaka
Kwa hiyo JK ameilalamikia serikali kuwa bei ya mafuta ni kubwa?? Hii ni kali ya mwaka
Punguza jazba jibu hoja. Unavyosema kazi ya chama ni kuilekeza serikali kutekeleza yaliyomo kwenye ilani, unamaanisha bajeti ya Mkulo haikufata sera ya chama that why Nape anamkumbusha????Baada ya uchaguzi kumalizika, chama tawala kupitia CC huwa kinaielekeza serikali, hii imekuwa ikifanyika kila siku hata kabla ile NGO ya wachaga haijageuzwa kuwa kampuni ya kukusanya ruzuku. Kazi ya chama tawala ni pamoja na kuilekeza serikali kutekeleza yale yaliyo kwenye ilani kwa kuwa ilani ni ya chama na serikali ni watekelezaji tu wa ilani.
Punguza jazba jibu hoja. Unavyosema kazi ya chama ni kuilekeza serikali kutekeleza yaliyomo kwenye ilani, unamaanisha bajeti ya Mkulo haikufata sera ya chama that why Nape anamkumbusha????
Baada ya uchaguzi kumalizika, chama tawala kupitia CC huwa kinaielekeza serikali, hii imekuwa ikifanyika kila siku hata kabla ile NGO ya wachaga haijageuzwa kuwa kampuni ya kukusanya ruzuku. Kazi ya chama tawala ni pamoja na kuilekeza serikali kutekeleza yale yaliyo kwenye ilani kwa kuwa ilani ni ya chama na serikali ni watekelezaji tu wa ilani.
Sio lazima. lakini inawezekana serikali na CC zikawa na mawazo tofauti juu ya kuondoa uchakachuaji, kumbuka serikali inatawala kwa niaba ya halmashauri kuu ya chama na si halmashauri kuu inatawala.
<br />Mkuu hebu tupe mwanga kidogo kwenye bold hapo!!!!!!! Then naweza kuchangia vema.
Kwa taarifa yako, hii imekuwa ikifanyika kila siku <b>kabla ya hata hiyo NGO ya wachaga haijabadilika na kuwa kampuni ya kukusanya ruzuku</b>. Imekuwa hivyo tangu enzzi za Nyerere kamati kuu kupinga maamuzi ya serikali na kuilekeza serikali kuachana na maamuzi hayo, hiyo ndio kazi ya kamati kuuu kuishauri na kusimamia utekelezaji wa ilani.
Kama haitoshi waziri ktk serikali ya j.k anailaumu serikali kuhusiana suala la umeme,sasa hapo cc 2nachanganyikiwa hivi huyo serikali anayelalamikiwa na mh.waziri ni nani?