security guard
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 799
- 603
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ameuangamiza kabisa upinzani Tunduma katika mkutano mkubwa uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi Mwaka.
Nape Jembe la Chama alibebwa juu juu kama shujaa na pia Mama Migiro alishangiliwa sana.
Katika hali isiyo ya kawaida CCM Imedhihirisha kukomaa kisiasa baada ya kuongea mambo ya msingi yenye kueleweka.
Nape Jembe la Chama alibebwa juu juu kama shujaa na pia Mama Migiro alishangiliwa sana.
Katika hali isiyo ya kawaida CCM Imedhihirisha kukomaa kisiasa baada ya kuongea mambo ya msingi yenye kueleweka.