Sr. Magdalena
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 803
- 472
CCM wametumia kiasi cha shiling bilioni tatu (3 bilioni) kwenye uchaguzi mdogo wa Igunga huku CDM wakiwa wametumia kiasi cha shiling milioni mia nne (400 milioni), na ndege mbili (moja magamba na nyingine magamba mtoto) zililipiwa na R.A. - Mtanzania
Sheria za uchaguzi mdogo wa ubunge inasemaje hapa.
Sheria za uchaguzi mdogo wa ubunge inasemaje hapa.