Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
Chama cha mapinduzi kilitumia shilingi bilioni 3 katika kampeni na mchakato mzima wa uchaguzi katika jimbo la Igunga. Pia helikopta ya chama hicho iliyotumika katika kampeni hizo ililipiwa na Rostam Aziz. Kwa upande mwingie CHADEMA wao walitumia shilingi milioni 400. Source: Gazeti la Mtanzani. My take: Ni hekima gani iliyotumika kwa hawa magamba kutumia 3 bilion kwa uchaguzi wa Igunga tu wakati kuna watanzania wanakosa chakula, akina hospitali hazina dawa, nchi iko gizani eti umeme hakuna?