VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
SOURCE TBC FM
My take....
Hivi hawa watu... :angry:
My take....
Hivi hawa watu... :angry:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ole wao!
4. Tuchague kiongozi mkuu wa TAKUKURU na aape kuwajibika kwa masrahi ya taifa na ikithibitika kama ameenda kinyume na utendaji wa ofisi kwa kumpendelea mtu yeyote yule basi anyongwe mpaka kufa.
Eventually the NEC will declare a call for the General Election.
Siku ya Nyani kufa Miti yote huteleza.. Jamaa hawakuamini kumwona Chairman Mbowe na convoy lake wakipta mbele ya JK alipoanza kuhutubia! Hakika ingekuwa enzi za Mahita angechimba mkwara mbuzi.
Kwa Mkwele mcheza mdundiko hayo kwake ni kawaida tu hakosi hata usingizi. Nao watalala wataamka lakini sasa wanajua kuwa Chadema imeamsha wengi waiokuwa ignorant.
Na kwa wewe Msukuma mcheza na nyoka au muuwa albino, mchaga- mwizi mnywa mbege....acha hizo huwezi kumchukia mtu kwa kabila lake..nyie ndio wabaguzi msiotakiwa katika nchi hii. Najua inawauma sana kwa mswahili kukaa pale Ikulu na itawauma sana 5 more years.
na kwa wewe msukuma mcheza na nyoka au muuwa albino, mchaga- mwizi mnywa mbege....acha hizo huwezi kumchukia mtu kwa kabila lake..nyie ndio wabaguzi msiotakiwa katika nchi hii. Najua inawauma sana kwa mswahili kukaa pale ikulu na itawauma sana 5 more years.
Haya yalitarajiwa na nina imani kabisa kwamba Chadema watanyang'anywa hadhi ya kuongoza upinzani Bungeni.
Kwanza hali itakuwa mbaya sana kwa Chadema Bunge litakapoanza kujadili Hotuba ya JK.
Watajikuta katika wakati mgumu wa kuwepo Bungeni wakati wa majadiliano ya hotuba waliyoisusia.
Wakisusa kuwepo wakati wa mjadala huo ni sawa na kujipalia makaa zaidi.
Tulishauri tukapuuzwa. 'Negative implications' tulizokuwa tunazitolea angalizo ndio hizi sasa.
Ile move ilikuwa ni pigo la nguvu kwa JK na CCM yake ndio maana aliduwaa na hakuamini kuwa yamemtokea. Sasa wanahaha, hawajui lakufanya zaidi ya kutoa matamko yanayowaharibia zaidi. Kama ingekuwa ni ktk boxing, ile ingekuwa Uppercut kama zile za Mohamed Ali