Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
wao wanatoa TAMKO kama nani?
Sijaelewa hapa!
Mkuu safari hii nchi yetu itaona maajabu mengi sana. Naona sasa vyama vinaanza kufanya kazi ya spika, sijui kama vyama vina nafasi bungeni au wabunge kutoka vyama mbalimbali ndio wananafasi, tunaanza kuona vioja vya matokeo ya uchaguzi.