chama cha mapinduzi kimetoa ratiba ya uchukuaji wa fomu jimbo la igunga ambapo tarehe 9-8-2011 hadi 13-8-2011 itakuwa ni siku ya kuchukua fomu na kurudisha, tarehe 15-8-2011 itakuwa ni siku ya mkutano mkuu wa uchaguzi utakao chagua mgombea wa jimbo la igunga. hii ni kwa mujibu wa katibu mwenezi wa taifa-NAPE MNAUYE. TBC, Taarifa ya Habari.