Baraka Mina
JF-Expert Member
- Sep 3, 2020
- 581
- 574
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimewatangazia wabunge wa Chama hicho ratiba ya mchakato wa nafasi ya unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Daktari Hamisi Kigwangala tayari ameshachukua fomu,Bila shaka naibu spika atakuwa mwanaume ili kuweka usawa.
Binafsi natamani kumwona mbunge kama Jerry Slaa, Hamfrey Polepole au Josephat Gwajima anakuwa naibu spika.
Hawa ni sukuma gang hawatapitishwa. Naibu spika lazima awe anatoka kwa "wenye CCM"Hamfrey Polepole au Josephat Gwajima anakuwa naibu spika.
Endelea kuota kwani hulipii ndoto.Daktari Hamisi Kigwangala tayari ameshachukua fomu,Bila shaka naibu spika atakuwa mwanaume ili kuweka usawa.
Binafsi natamani kumwona mbunge kama Jerry Slaa, Hamfrey Polepole au Josephat Gwajima anakuwa naibu spika.