dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
CCM wameamua kuchukua hoja za wapinzani na kuzifanya zao hasa ambazo zilikuwa zinapigiwa kelele na upinzani. Baadhi ya hoja hizo ni
1: mgombea binafsi hoja ya mch.Mtikila
2: madaraka ya rais. Hoja ya CUF & CHADEMA
3: uteuzi wa mawaziri na madaraka ya waziri mkuu. Hoja ya CHADEMA
4..........
5..........
My concern
CCM wanaona jahazi linazama na wanachukua hoja za upinzani na kufanya zao ikiwemo hoja ya katiba mpya
1: mgombea binafsi hoja ya mch.Mtikila
2: madaraka ya rais. Hoja ya CUF & CHADEMA
3: uteuzi wa mawaziri na madaraka ya waziri mkuu. Hoja ya CHADEMA
4..........
5..........
My concern
CCM wanaona jahazi linazama na wanachukua hoja za upinzani na kufanya zao ikiwemo hoja ya katiba mpya