Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,401
- 92,738
Pengo roho kwatu kabisa, anamwaga mibaraka tu.Kwa kweli mwaka wao huu,hapa hutaona hata mgalatia mmoja akizungumzia udini ngoja ashike mwingine sasa
Pengo roho kwatu kabisa, anamwaga mibaraka tu.Kwa kweli mwaka wao huu,hapa hutaona hata mgalatia mmoja akizungumzia udini ngoja ashike mwingine sasa
Una uhakika kwamba mimi ni Mgalatia au umekariri kama ulivyokariri kwamba uteuzi umeangalia dini ya mtu kwa sababu tu umeona wagombea wote wanatoka dini moja?!Sasa udini uko wapi hapo wewe mgalatia?
Tangu Rais Mkatoliki Magufuli ameingia madarakani, kanisa katoliki limeshatowa waraka wowote wa kichungaji?Sisemi halipo na ndio maana nika-conclude "bila sababu ya msingi!" Si kila penye watu wa dini moja hapo kuna udini vinginevyo itakuwa yale yale ya akina Edwin Mtei kulalamika kwamba eti Wajumbe wa Tume ya Katiba wengi ni Waislamu huku ikifahamika vema kwamba majority ya Wazanzibari ni Waislamu na matokeo yake ikapelekea ku-outweigh hata idadi wa Wakristo walioteuliwa kutoka bara!
Btw, hivi kuna Waislamu wangapi miongoni mwa possible candidates huko Longido?! Vp kuhusu Songea au hata huko Singida?!
Mgalatia hajifichi.Una uhakika kwamba mimi ni Mgalatia au umekariri kama ulivyokariri kwamba uteuzi umeangalia dini ya mtu kwa sababu tu umeona wagombea wote wanatoka dini moja?!
Narudia... hoja ni kuingiza udini bila sababu za msingi! Nimeanza kuangalia mazingira ya huko uchaguzi unakofanyika! Hivi kuna Waislamu wangapi huko Umasaini au huko kwa Wengine?! Binafsi, tangu nianze kufuatilia siasa za nchi hii, sijawahi kusikia mbunge yeyote Mwislamu kutoka Umasaini au hata huko Ruvuma (excluding Tunduru) kama ambavyo sijawahi kusikia mbunge Mkristo kutoka Pemba au Zanzibar ukiondoa few exceptions za akina Isaac Sepetu ambae hata hivyo I'm not sure kama aliendelea na Ukristo wake!!Tangu Rais Mkatoliki Magufuli ameingia madarakani, kanisa katoliki limeshatowa waraka wowote wa kichungaji?
Nadeclare interest mimi ni mkatoliki tena wa ndani kabisa i know this church very much.
Kwani ni aibu au jinai kuwa Mgalatia?Lemme tell you something... sijawahi kuonea aibu dini yangu wala asili yangu na kwa watu wanaonifahamu vizuri kupitia JF, wanafahamu imani yangu na asili yangu pia!Mgalatia hajifichi.
Acha kulisha watu watangopori aliyeshinda Songea alikuwa ni John John Nchimbi na sio Balozi Dr Emmanuel Nchimbi ,Kamati Kuu ya CCM imeteua wagombea ubunge katika majimbo matatu kama ifuatavyo; Monko Joseph (Singida Kaskazini), Damas Ndumbaro (Songea Mjini) na Stephen Kiruswa (Longido).
View attachment 651911
My Take;
Rais alisema sasa ni muda wa kazi tu. Nchimbi, Kimbisa na Sophia Simba mlisema mumewasamehe.
Kama tunavyojua Nchimbi ndo alishinda Kura za Maoni. Kwanini mumekata jina lake. CCM acheni kulipiza visasi.
Uchaguzi ushaisha na sote tunajenga nchi moja.
Hili swala limenisikitisha sababu si la kozalendo. CCM ubaguzi wenu hautawaacha salama.
Pale Dodoma Mlitangaza kwamba mumewasamehe wote waliomuunga mkono Lowassa, na Nchimbi alitubu hadi akakaribishwa Ikulu.
Kama ndivyo Nape Nnauye, Hussein Bashe wajiandae Kisaikolojoa 2020. Hawatapita sababu ya kuongea ukweli na kwenda kinyume na CCM.
Bashe alilalamika bungeni kwamba watu wasiojulikana wanamfuatilia.
Nakumbuka Bashe na Msukuma waliwekwa Korokoroni kisa wanahoji pale CCM inapokosea.
Hii mbaya sana kuongoza kwa visasi.
Kwani ni aibu au jinai kuwa Mgalatia?Lemme tell you something... sijawahi kuonea aibu dini yangu wala asili yangu na kwa watu wanaonifahamu vizuri kupitia JF, wanafahamu imani yangu na asili yangu pia!
Chadema, huoni tumemwachia Mbowe aongoze chama kama shamba la ukoo!Kwenye demokrasia no wapi
Wewe lazima utakuwa mfuasi wa [HASHTAG]#lissumsaliti[/HASHTAG] ambaye amefanya ukabila ni sera ya kujivunia.Hawa wanyasa kina Nchimbi wakagombee Mbambabay!
Pole sana... kama sentensi moja kwako ni maelezo marefu, basi una kila haki ya ku-guess guess!!Sasa mbona unajishtukia ewe mgalatia. Maelezo marefu kama upo kwenye interview..
Ita vyovyote upendavyo lakini habari ndio hiyo! Nyasa ni Wilaya na jimbo wapeleke maendeleo huko kama ilivyo Hai kule Kilimanjaro!Wewe lazima utakuwa mfuasi wa [HASHTAG]#lissumsaliti[/HASHTAG] ambaye amefanya ukabila ni sera ya kujivunia.
Chama ha kidiketa ambapo wanachama wakihoji wanashambuliwa ccm nichama cha mafisadi ukitoka ndani ya ccm unakuwa an enemy of the people!Kamati Kuu ya CCM imeteua wagombea ubunge katika majimbo matatu kama ifuatavyo; Monko Joseph (Singida Kaskazini), Damas Ndumbaro (Songea Mjini) na Stephen Kiruswa (Longido).
View attachment 651911
My Take;
Rais alisema sasa ni muda wa kazi tu. Nchimbi, Kimbisa na Sophia Simba mlisema mumewasamehe.
Kama tunavyojua Nchimbi ndo alishinda Kura za Maoni. Kwanini mumekata jina lake. CCM acheni kulipiza visasi.
Uchaguzi ushaisha na sote tunajenga nchi moja.
Hili swala limenisikitisha sababu si la kizalendo. CCM ubaguzi wenu hautawaacha salama.
Pale Dodoma Mlitangaza kwamba mumewasamehe wote waliomuunga mkono Lowassa, na Nchimbi alitubu hadi akakaribishwa Ikulu.
Kama ndivyo Nape Nnauye, Hussein Bashe wajiandae Kisaikolojoa 2020. Hawatapita sababu ya kuongea ukweli na kwenda kinyume na CCM.
Bashe alilalamika bungeni kwamba watu wasiojulikana wanamfuatilia.
Nakumbuka Bashe na Msukuma waliwekwa Korokoroni kisa wanahoji pale CCM inapokosea.
Hii mbaya sana kuongoza kwa visasi.
Hamjui hata huyo nchimbi, alikimbilia tu kuandika bika kujua.Huyo Nchimbi unayemtetea si ni balozi Brazil? utaongoza jimbo toka brazil? Hicho cha balozi kinamtosha.Kofia moja tuu,wacha wengine waongoze.
Kalagabaho na ubaguzi wako wa kikabila.Ita vyovyote upendavyo lakini habari ndio hiyo! Nyasa ni Wilaya na jimbo wapeleke maendeleo huko kama ilivyo Hai kule Kilimanjaro!
Vyovyote vile!Kalagabaho na ubaguzi wako wa kikabila.
Una maanisha nini? huyu Lawrance muasisi wa mkoa wetu?Gama naye mbona hakuwa mwenye mji lakini alizawadiwa ubunge
Tz hii yupo Tapeli mmoja tu tena ni kiongozi wa chama chako!Ni genge la matapeli mkuu
Huu ni umbea wao au kuchokonoana tuYani nchimbi aliomba kugombea wakati ni balozi Brazil?
kumbe ubunge mtamu...!
Kwani kulishawahi kuwa na demokrasia CCM???Hakuna Demokrasia CCM tena