Na shaka na Baregu,hivi hua sio shushushu kiana?,anaecheza karata kwa step?Hii ndio sayansi ya siasa,Baregu ameshindwa kabisa kuwatengenezea chadema mpango kazi,kilichobaki kila mtu anaongea tu
Hiyo Pia Sio Nzuri Sana. Sheria Iwepo Kwamba Ukijiuzulu Ubunge Huruhusiwi Kugombea Kwenye Uchaguzi Mdogo. Alafu Utashangaa Ni Wangapi Watakaojiuzulu!Hii ni siasa ya hovyo kuwahi tokea nchi hii very shame watunge sheria mtu ahame na ubunge wake kuliko hzo gharama
Hakuna jipya kwa kuwa wagombea walishajulika kutokana na mwenendo wa ccm kununua wapinzani na kuwapa madaraka. Hakuna haja ya uchaguzi waapishwe kisha waende bungeni kumtumikia shetani
Nasikia ndani ya ccm baada ya moshi kufuka kwa muda mrefu hatimae moto umeanza kuwaka
Duh!Mzee mzima na kipara chako unakaa kufanya huu upuuzi😖
Subiri 2020 Utajua nini maana ya siasa
Ni kweli tumekuwa taifa la wasio tumia akili eti naunga mkono nahamia kwingine. Kati ya vtu vilivomshushia heshima jiwe ni hii hama hama ya wabunge maana ukifanya tafiti kwa wana nchi hata wanachama kindaki ndaki they don't support this idea. So shame kwa kweliHiyo Pia Sio Nzuri Sana. Sheria Iwepo Kwamba Ukijiuzulu Ubunge Huruhusiwi Kugombea Kwenye Uchaguzi Mdogo. Alafu Utashangaa Ni Wangapi Watakaojiuzulu!
Nani HUYO Kawasha Moto???Nasikia ndani ya ccm baada ya moshi kufuka kwa muda mrefu hatimae moto umeanza kuwaka
Asante Mungu kwa hili
Wenyewe kwa wenyeweNani HUYO Kawasha Moto???
We Kazi Yako Ni Kuendelea Kufia Chama Unataka Nini Kingine Mkuu??Vipi wafia chama jamani hatuna nafasi
Kweli Aisee! Hawa Viti Maalum Wana Viburi Sana Hawa!!!Hivi wabunge wa viti maalimu kutoka vyama vya upinzani hawataki kumuunga mkono rais wetu?