Mbase1970
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 6,053
- 4,595
Kuua vyama visivyo na dira tupate vyenye ili tumtoe adui yetu. Sikioni hata chama kimoja cha maana na chenye muelekeo wa kweli na dhamira ya kuchukua madaraka ama kuishikisha adabu ccm. Ni vyama vinavyotakiwa vife ama visaidiwe kufa kama inavotokea sasaMuelekeo mzuri huu wa kununua waoinzani ama?