Katibu mkuu wa CCM ni zaidi ya hao mawaziri kwa power za kimaamuziYeye ni Waziri wa Habari?
Ametumia Sheria Ya Dhulma Kulifungia Hilo GazetiChongolo ametoa wapi mamlaka ya kulifungia gazeti?
Wampeleke Akachanjwe Johnson And JohnsonKatibu Mwenezi wa hovyo sijawah ona , tangu apeleke majina utopolo kwenye teuzi za U-DC ndo nikaona Choo cha kike hiki
Wewe ukimuambia dereva wako apaki gari lako Kwa Siku saba ataweza kukuuliza wewe ni trafiki polisi?Yeye ni Waziri wa Habari?
Mwenye gazeti ni CCM ameamua kufungia Mali yake bandani, nani atamuulizaMe sijaelewa kabisa,hilo gazeti ni la chama au??
M,ccm anapataje nguvu ya kulifungia hilo gazeti,nipeni elim ndugu zangu.
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
DANIEL CHONGOLO AMBAE NI KATIBU MKUU CCM TAIFA AMELIFUNGIA SIKU SABA GAZETI LA UHURU KWA KUCHAPISHA HABARI ISEMAYO KUWA RAIS SAMIA HASSANI SULUHU HANA MPANGO WA KUGOMBEA 2025.
GAZETI LA UHURU LIMEFUNGUWA SIKU SABA
Uhuru wa vyombo vya habari saizi uko huru.
----
Chama cha Mapinduzi kimesimamisha uchapishaji wa gazeti la Uhuru kwa muda wa siku saba huku kikiwasimamisha kazi watendaji wakuu watatu wa gazeti hilo kwa madai ya upotoshaji wa kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan.
Mapema leo chama hicho kilitoa taarifa kikieleza kusikitishwa na kitendo kilichofanywa na gazeti hilo cha kupotosha kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan iliyotokana na mahojiano ya kiongozi huyo na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), ambapo chama kiliahidi kuchukua hatua za kinidhamu dhidi ya wote waliohusika katika uandaaji wa habari hiyo.
Gazeti hilo la CCM, toleo la leo Agosti 11, limeandika habari yenye kichwa kisemacho “Sina wazo kuwania urais 2025-Samia”, ambayo imepewa uzito mkubwa.
Akizungumza na waandishi wa habari baadaye leo Jumatano Agosti 11, 2021, Katibu Mkuu wa chama hicho, Daniel Chingolo amesema uamuzi wa kuwasimamisha kazi viongozi hao umetolewa na bodi ambayo imeenda mbali na kuunda kamati ya kuchunguza sababu za jambo hilo kutokea.
“Ukifuatilia mahojiano aliyofanya Rais Samia Suluhu Hassan hakuna mahali alipozungumza maneno yaliyoandikwa kwenye kichwa cha habari cha gazeti la Uhuru la leo, amelishwa maneno na uungwana ni vitendo tunamuomba radhi Rais.
Viongozi waliosimamishwa kazi ni Mkurugenzi Mtendaji wa gazeti hilo, Ernest Sunguya ambaye pia ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Mhariri Mtendaji, Athumani Mbutuka na msimamizi wa gazeti hilo, Rashid Zahoro.
“Tumeamua mambo kadhaa, bodi ilikutana na kuleta taarifa ya hitimisho la kikao chao, ninaipongeza kwa uamuzi walioufanya na mimi kama Katibu Mkuu nimesimamisha kuanzia leo uchapishaji wa gazeti la Uhuru kwa siku saba, hayo ni mamlaka yangu,” amesema Chongolo.
Chanzo: Mwananchi
Mbona kichwa cha habari kiko kibiashara kuuza gazeti tu. Ukisoma content unakuta hakuna tofauti mama alivyosema. Alisema ni mapema kua amefanya uamuzi kama atagombea urais. Hawa kina chongolo naona wanafanya papara jazba na kujipendekeza tu. Yafaa wawe makini sana jinsi ya kuongoza chama.DANIEL CHONGOLO AMBAE NI KATIBU MKUU CCM TAIFA AMELIFUNGIA SIKU SABA GAZETI LA UHURU KWA KUCHAPISHA HABARI ISEMAYO KUWA RAIS SAMIA HASSANI SULUHU HANA MPANGO WA KUGOMBEA 2025.
GAZETI LA UHURU LIMEFUNGUWA SIKU SABA
Uhuru wa vyombo vya habari saizi uko huru.
----
Chama cha Mapinduzi kimesimamisha uchapishaji wa gazeti la Uhuru kwa muda wa siku saba huku kikiwasimamisha kazi watendaji wakuu watatu wa gazeti hilo kwa madai ya upotoshaji wa kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan.
Mapema leo chama hicho kilitoa taarifa kikieleza kusikitishwa na kitendo kilichofanywa na gazeti hilo cha kupotosha kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan iliyotokana na mahojiano ya kiongozi huyo na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), ambapo chama kiliahidi kuchukua hatua za kinidhamu dhidi ya wote waliohusika katika uandaaji wa habari hiyo.
Gazeti hilo la CCM, toleo la leo Agosti 11, limeandika habari yenye kichwa kisemacho “Sina wazo kuwania urais 2025-Samia”, ambayo imepewa uzito mkubwa.
Akizungumza na waandishi wa habari baadaye leo Jumatano Agosti 11, 2021, Katibu Mkuu wa chama hicho, Daniel Chingolo amesema uamuzi wa kuwasimamisha kazi viongozi hao umetolewa na bodi ambayo imeenda mbali na kuunda kamati ya kuchunguza sababu za jambo hilo kutokea.
“Ukifuatilia mahojiano aliyofanya Rais Samia Suluhu Hassan hakuna mahali alipozungumza maneno yaliyoandikwa kwenye kichwa cha habari cha gazeti la Uhuru la leo, amelishwa maneno na uungwana ni vitendo tunamuomba radhi Rais.
Viongozi waliosimamishwa kazi ni Mkurugenzi Mtendaji wa gazeti hilo, Ernest Sunguya ambaye pia ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Mhariri Mtendaji, Athumani Mbutuka na msimamizi wa gazeti hilo, Rashid Zahoro.
“Tumeamua mambo kadhaa, bodi ilikutana na kuleta taarifa ya hitimisho la kikao chao, ninaipongeza kwa uamuzi walioufanya na mimi kama Katibu Mkuu nimesimamisha kuanzia leo uchapishaji wa gazeti la Uhuru kwa siku saba, hayo ni mamlaka yangu,” amesema Chongolo.
Chanzo: Mwananchi
Mwenye kuku kumfungia bandani kuku wake ni sawaChongolo ametoa wapi mamlaka ya kulifungia gazeti?
Si waangalie hotubq kuona kama mama aliulizwa swali hilo?Chama kushika hatamu
Sheria ya magazeti inaruhusu hilo?Mwenye kuku kumfungia bandani kuku wake ni sawa
Mazingaombwe yameanza tena. Very technical to identify behind this🤸🤸🤸DANIEL CHONGOLO AMBAE NI KATIBU MKUU CCM TAIFA AMELIFUNGIA SIKU SABA GAZETI LA UHURU KWA KUCHAPISHA HABARI ISEMAYO KUWA RAIS SAMIA HASSANI SULUHU HANA MPANGO WA KUGOMBEA 2025.
GAZETI LA UHURU LIMEFUNGUWA SIKU SABA
Uhuru wa vyombo vya habari saizi uko huru.
----
Chama cha Mapinduzi kimesimamisha uchapishaji wa gazeti la Uhuru kwa muda wa siku saba huku kikiwasimamisha kazi watendaji wakuu watatu wa gazeti hilo kwa madai ya upotoshaji wa kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan.
Mapema leo chama hicho kilitoa taarifa kikieleza kusikitishwa na kitendo kilichofanywa na gazeti hilo cha kupotosha kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan iliyotokana na mahojiano ya kiongozi huyo na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), ambapo chama kiliahidi kuchukua hatua za kinidhamu dhidi ya wote waliohusika katika uandaaji wa habari hiyo.
Gazeti hilo la CCM, toleo la leo Agosti 11, limeandika habari yenye kichwa kisemacho “Sina wazo kuwania urais 2025-Samia”, ambayo imepewa uzito mkubwa.
Akizungumza na waandishi wa habari baadaye leo Jumatano Agosti 11, 2021, Katibu Mkuu wa chama hicho, Daniel Chingolo amesema uamuzi wa kuwasimamisha kazi viongozi hao umetolewa na bodi ambayo imeenda mbali na kuunda kamati ya kuchunguza sababu za jambo hilo kutokea.
“Ukifuatilia mahojiano aliyofanya Rais Samia Suluhu Hassan hakuna mahali alipozungumza maneno yaliyoandikwa kwenye kichwa cha habari cha gazeti la Uhuru la leo, amelishwa maneno na uungwana ni vitendo tunamuomba radhi Rais.
Viongozi waliosimamishwa kazi ni Mkurugenzi Mtendaji wa gazeti hilo, Ernest Sunguya ambaye pia ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Mhariri Mtendaji, Athumani Mbutuka na msimamizi wa gazeti hilo, Rashid Zahoro.
“Tumeamua mambo kadhaa, bodi ilikutana na kuleta taarifa ya hitimisho la kikao chao, ninaipongeza kwa uamuzi walioufanya na mimi kama Katibu Mkuu nimesimamisha kuanzia leo uchapishaji wa gazeti la Uhuru kwa siku saba, hayo ni mamlaka yangu,” amesema Chongolo.
Chanzo: Mwananchi