Pole kaburu usituharibie taifa letueeh kwa kweli mwenye bango yuko sawa kwa mtu anaye jua hawa watu vizuri
yaani wanaona sisi kama takataka
wengine wako huku wana migodi na wanazurumu watanzania wenzetu na wanapeta, bila shida
No way.....kuweni specific.Bango halikubebwa na Mwanachi mmoja bali lilibebwa na Mwanachama wa CCM akiwa mbele akiongoza wengine huku akiwa amevaa sare za ccm.Kwani kabla ya kuanza maandamano hawakukaguwa mabango au kila mtu alikuwa anaandika atakavyo...????hapo inaonesha wako dis organized....SHAME.....SHAME....SHAME...hii ni dhambi mbaya saana na itawatafuna milele.Mzee Karume muasisi wa mapinduzi aliowa Muarabu wakajaaliwa watoto machotara sasa leo anatukanwa.NO.....NO....NO.
Ingawa maneno hayo yana ukweli kwa sehemu kubwa, bado inategemea na eneo husika (geographical context) na watajwa husika (ethnic group). Ni kweli waafrika waweza kufanya hayo, ni kwa sababu ya mazingira na mambo ya msingi yanayopelekea kufikiri, kusema na kutenda kwa jinsi fulani kama mfumo au utamaduni wa maisha ya jamii husika.Nimejikuta nakumbuka maneno haya ya enzi zile.
P.W.BOTHA,FORMER PRESIDENT OF SOUTH AFRICA, IN 1985 SAID THIS: "BLACKS CANNOT RULE THEMSELVES.GIVE THEM GUNS AND THEY WILL KILL EACH OTHER."
Akaendelea: "THEY ARE GOOD IN NOTHING ELSE BUT IN MAKING NOISE,DANCING,MARYING MANY WIVES AND INDULGING IN SEX."
Mbona makamo wa rais alibariki jumbe zote zilizokuwemo kwenye mabango ikiwa ni pamoja na hilo kuwa atayafanyia kazi? Mlishakula nyama ya binadamu mataendelea kula tu. Mlishaanza kumbagua Salim A. Salim hivyo hiyo laana itawamaliza tu!TAARIFA KWA UMMA
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesikitishwa sana na ujumbe wenye maudhui ya ubaguzi ulioandikwa kwenye moja ya Bango lililobebwa na mmoja wa wananchi waliojitokeza katika maadhimisho ya Sherehe za Miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaomba radhi kwa ujumbe huo, kinapinga na kinakemea kabisa fikra, hisia na mitazamo yoyote yenye maudhui ya kibaguzi.
Ujumbe huo sio tu kuwa una maudhui ya kibaguzi bali pia unaenda kinyume kabisa na falsafa na Shabaha ya waasisi wa Mapinduzi hayo Matukufu ya mwaka 1964 na unapingana na misingi na itikadi ya CCM inayohimiza Umoja na Mshikamano wa Kitaifa.
Daniel Chongolo
Mkuu wa Mawasiliano na Umma CCM.
12/01/2016
View attachment 316495
Sio sisi sema wanachokitafuta CCM kitatupataHii nchi tunachokitafuta tutakipata SIO MUDA
Anakaimu nafsi ya Nape, baada ya Nape kuingia serikalini.Mimi ndiyo leo kumsikia huyo Daniel somebody
Nimejikuta nakumbuka maneno haya ya enzi zile.
P.W.BOTHA,FORMER PRESIDENT OF SOUTH AFRICA, IN 1985 SAID THIS: "BLACKS CANNOT RULE THEMSELVES.GIVE THEM GUNS AND THEY WILL KILL EACH OTHER."
Akaendelea: "THEY ARE GOOD IN NOTHING ELSE BUT IN MAKING NOISE,DANCING,MARYING MANY WIVES AND INDULGING IN SEX."