CCM yashtushwa na wingi wa wanahabari

BAK

JF-Expert Member
Feb 11, 2007
124,790
288,007
CCM yashtushwa na wingi wa wanahabari

na Edward Ibabila, Musoma
Tanzania daima~Sauti ya Watu

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeshtushwa na wingi wa waandishi wa habari waliofika mkoani hapa kwa lengo la kuandika habari za kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama hicho kinachoanza leo kijijini Butiama.

Kushtushwa kwa chama hicho kulibainishwa jana na Ofisa Habari na Mawasiliano wa CCM Makao Makuu, Gabriel Athuman, alipozungumza na waandishi wa habari jinsi ya ushiriki wa vyombo hivyo katika kikao hicho.

“Ndugu zangu chama kimeshtushwa na wingi wenu, hasa ukizingatia kuwa mmeandika sana juu ya kikao hiki hata kabla ya kikao kuanza…inawezekana mnayoandika ni ya kweli au pengine si ya kweli. Hivyo basi mtashiriki, lakini kwa utaratibu maalum,” alisema.

Akitangaza utaratibu wa ushiriki wa vyombo vya habari katika kikao hicho, Athuman alisema waandishi wote hawataruhusiwa kuwa kwenye kikao hicho, lakini watasubiri taarifa ya maazimio katika siku ya mwisho Machi 30, mwaka huu.

Aidha, alisema waandishi wote watakuwa na vitambulisho maalum na kuwa kila chombo cha habari kitajitegemea kwa usafiri na mahitaji mengine.

Hata hivyo, Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Yusufu Makamba, alitoa sh 100,000 kwa ajili ya usafiri wa waandishi hao wa habari.



Maoni ya Wasomaji
Maoni yanayotolewa na wasomaji wa safu hii ni ya kwao na sio maoni ya kampuni ya Freemedia Ltd. Aidha sio maoni ya mtunzi au mwandishi wa habari au makala husika hapo juu. Maoni haya hayajahakikiwa wala kuafikiwa na kampuni ya Freemedia Ltd.
Maoni 6 yameshatolewa. (Nawe toa maoni yako!)
Kama kawaida yake makamba anawafanya watu wote wapumbavu niliwahi kutowa maoni yangu wakati fulani kuhusiana na huyu Makamba alipokwenda akawambia maneno machafu wandishiwa habari na wapiga picha nayaita maneno machafu kwasababu mtu mzima kama yeye kuwa waeleza watu wenye heshima zao na kazi zao zinazosaidia jamii na Taifa kwa ujumla kuwa haya pigeni picha halafu muondoke ni utovu wa adabu na leo anawatukana kistarabu kwa kutowa pesa eti kwa ajili ya safari za wandishi nakama wandishi watazitumia kwa safari hiyo basi watakuwa wao ndio wamejikubalisha kuwa wapumbavu wa hali ya mwisho kabisa.Tukumbuke kuwa Kuna wakati Rais KAMBARAGE alisema ikiwa mtu atakwambia mambo ya kipumbavu na wewe ukayakubali basi ni wewe uliyoyakubali ndio Mpumbavu na hiyo ndio njia anayoitumia Makamba kuwafanya watu wote wapumbavu. Makamba usijidanganye Tunaishi katika maleniam mpya

na Andrew, Tanzania, - 29.03.08 @ 12:03 | #4036

sasa CCM munaogopa nini? Au kuna siri huko hamutaki itoke nje?

na Kirambo, musoma, - 29.03.08 @ 13:08 | #4046

wanataka kujadiliana namna ya kuficha mambo yao ktk EPA namba mbili maana namba moja watu wamewashtukia.watanzania tuwe macho tuhakikishe kona zote zinalindwa wasituingize mkenge hao

na kamwene - 29.03.08 @ 16:54 | #4064

Wakati wa kampeni za kugombea urais 2005 CCM hamkushtushwa na wingi wa waandishi wa habari!!! Mmesahau jinsi mlivyokuwa mnawanunua na kuwagharimia kila kitu ili habari zanu ziandikwe! Leo kwa vile waandishi wanaandika uozo wenu na jinsi mnavyo ikuza na kuisujudu rushwa basi imekuwa nongwa na mnawashangaa.

Siku isiyo na jina inakuja Mungu atawatujalia Watanganyika tuweze kuyafahamu makosa tunayoendelea kuyafanya ya kuipa kula CCM. Ndipo Mhe. Makamba tutakapo kutana pale Maheza-nguu Korogwe akiwa anakumbuka enzi za ufalme wao.

na Jackson, London, - 29.03.08 @ 17:16 | #4065

Paukwa, pakawa! fisadi wa EPA angejenga barabara ingekuwa ya kilomita ngapi? ohhhhh halo halo! EPA type of plundering and squandering public money is the vivid cause of our Poverty! but most important CCM is growing blind because of old age? No hypocrisy! It is high time you know it because our economy is downing, but still you fool us otherwise. No Economy should be a national interest and not political hypocrisy.

na Majaliwa, Musoma, - 29.03.08 @ 18:10 | #4069

Paukwa, pakawa! fisadi wa EPA angejenga barabara ingekuwa ya kilomita ngapi? ohhhhh halo halo! EPA type of plundering and squandering public money is the vivid cause of our Poverty! but most important CCM is growing blind because of old age? No, hypocrisy! It is high time you know it because our economy is downing, but still you fool us otherwise. No, Economy should be a national interest and not political hypocrisy.

na Majaliwa, Musoma, - 29.03.08 @ 18:14 | #4072
 
CCM yashtushwa na wingi wa wanahabari

na Edward Ibabila, Musoma
Tanzania daima~Sauti ya Watu

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeshtushwa na wingi wa waandishi wa habari waliofika mkoani hapa kwa lengo la kuandika habari za kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama hicho kinachoanza leo kijijini Butiama.

Kushtushwa kwa chama hicho kulibainishwa jana na Ofisa Habari na Mawasiliano wa CCM Makao Makuu, Gabriel Athuman, alipozungumza na waandishi wa habari jinsi ya ushiriki wa vyombo hivyo katika kikao hicho.

“Ndugu zangu chama kimeshtushwa na wingi wenu, hasa ukizingatia kuwa mmeandika sana juu ya kikao hiki hata kabla ya kikao kuanza…inawezekana mnayoandika ni ya kweli au pengine si ya kweli. Hivyo basi mtashiriki, lakini kwa utaratibu maalum,” alisema.

Akitangaza utaratibu wa ushiriki wa vyombo vya habari katika kikao hicho, Athuman alisema waandishi wote hawataruhusiwa kuwa kwenye kikao hicho, lakini watasubiri taarifa ya maazimio katika siku ya mwisho Machi 30, mwaka huu.

Aidha, alisema waandishi wote watakuwa na vitambulisho maalum na kuwa kila chombo cha habari kitajitegemea kwa usafiri na mahitaji mengine.

Hata hivyo, Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Yusufu Makamba, alitoa sh 100,000 kwa ajili ya usafiri wa waandishi hao wa habari.



Maoni ya Wasomaji
Maoni yanayotolewa na wasomaji wa safu hii ni ya kwao na sio maoni ya kampuni ya Freemedia Ltd. Aidha sio maoni ya mtunzi au mwandishi wa habari au makala husika hapo juu. Maoni haya hayajahakikiwa wala kuafikiwa na kampuni ya Freemedia Ltd.
Maoni 6 yameshatolewa. (Nawe toa maoni yako!)
Kama kawaida yake makamba anawafanya watu wote wapumbavu niliwahi kutowa maoni yangu wakati fulani kuhusiana na huyu Makamba alipokwenda akawambia maneno machafu wandishiwa habari na wapiga picha nayaita maneno machafu kwasababu mtu mzima kama yeye kuwa waeleza watu wenye heshima zao na kazi zao zinazosaidia jamii na Taifa kwa ujumla kuwa haya pigeni picha halafu muondoke ni utovu wa adabu na leo anawatukana kistarabu kwa kutowa pesa eti kwa ajili ya safari za wandishi nakama wandishi watazitumia kwa safari hiyo basi watakuwa wao ndio wamejikubalisha kuwa wapumbavu wa hali ya mwisho kabisa.Tukumbuke kuwa Kuna wakati Rais KAMBARAGE alisema ikiwa mtu atakwambia mambo ya kipumbavu na wewe ukayakubali basi ni wewe uliyoyakubali ndio Mpumbavu na hiyo ndio njia anayoitumia Makamba kuwafanya watu wote wapumbavu. Makamba usijidanganye Tunaishi katika maleniam mpya

na Andrew, Tanzania, - 29.03.08 @ 12:03 | #4036

sasa CCM munaogopa nini? Au kuna siri huko hamutaki itoke nje?

na Kirambo, musoma, - 29.03.08 @ 13:08 | #4046

wanataka kujadiliana namna ya kuficha mambo yao ktk EPA namba mbili maana namba moja watu wamewashtukia.watanzania tuwe macho tuhakikishe kona zote zinalindwa wasituingize mkenge hao

na kamwene - 29.03.08 @ 16:54 | #4064

Wakati wa kampeni za kugombea urais 2005 CCM hamkushtushwa na wingi wa waandishi wa habari!!! Mmesahau jinsi mlivyokuwa mnawanunua na kuwagharimia kila kitu ili habari zanu ziandikwe! Leo kwa vile waandishi wanaandika uozo wenu na jinsi mnavyo ikuza na kuisujudu rushwa basi imekuwa nongwa na mnawashangaa.

Siku isiyo na jina inakuja Mungu atawatujalia Watanganyika tuweze kuyafahamu makosa tunayoendelea kuyafanya ya kuipa kula CCM. Ndipo Mhe. Makamba tutakapo kutana pale Maheza-nguu Korogwe akiwa anakumbuka enzi za ufalme wao.

na Jackson, London, - 29.03.08 @ 17:16 | #4065

Paukwa, pakawa! fisadi wa EPA angejenga barabara ingekuwa ya kilomita ngapi? ohhhhh halo halo! EPA type of plundering and squandering public money is the vivid cause of our Poverty! but most important CCM is growing blind because of old age? No hypocrisy! It is high time you know it because our economy is downing, but still you fool us otherwise. No Economy should be a national interest and not political hypocrisy.

na Majaliwa, Musoma, - 29.03.08 @ 18:10 | #4069

Paukwa, pakawa! fisadi wa EPA angejenga barabara ingekuwa ya kilomita ngapi? ohhhhh halo halo! EPA type of plundering and squandering public money is the vivid cause of our Poverty! but most important CCM is growing blind because of old age? No, hypocrisy! It is high time you know it because our economy is downing, but still you fool us otherwise. No, Economy should be a national interest and not political hypocrisy.

na Majaliwa, Musoma, - 29.03.08 @ 18:14 | #4072

Nadhani wamejitokeza CCM iwaone na mjue nani wa kumnunua wakati mkiwahitaji kwa ajili yenu leo wapo kwa ajili ya Watanzania mnaogopa kitu gani ?
 
Maoni ya Wasomaji
Maoni yanayotolewa na wasomaji wa safu hii ni ya kwao na sio maoni ya kampuni ya Freemedia Ltd. Aidha sio maoni ya mtunzi au mwandishi wa habari au makala husika hapo juu. Maoni haya hayajahakikiwa wala kuafikiwa na kampuni ya Freemedia Ltd.
Maoni 6 yameshatolewa. (Nawe toa maoni yako!)
Kama kawaida yake makamba anawafanya watu wote wapumbavu niliwahi kutowa maoni yangu wakati fulani kuhusiana na huyu Makamba alipokwenda akawambia maneno machafu wandishiwa habari na wapiga picha nayaita maneno machafu kwasababu mtu mzima kama yeye kuwa waeleza watu wenye heshima zao na kazi zao zinazosaidia jamii na Taifa kwa ujumla kuwa haya pigeni picha halafu muondoke ni utovu wa adabu na leo anawatukana kistarabu kwa kutowa pesa eti kwa ajili ya safari za wandishi nakama wandishi watazitumia kwa safari hiyo basi watakuwa wao ndio wamejikubalisha kuwa wapumbavu wa hali ya mwisho kabisa.Tukumbuke kuwa Kuna wakati Rais KAMBARAGE alisema ikiwa mtu atakwambia mambo ya kipumbavu na wewe ukayakubali basi ni wewe uliyoyakubali ndio Mpumbavu na hiyo ndio njia anayoitumia Makamba kuwafanya watu wote wapumbavu. Makamba usijidanganye Tunaishi katika maleniam mpya

na Andrew, Tanzania, - 29.03.08 @ 12:03 | #4036

sasa CCM munaogopa nini? Au kuna siri huko hamutaki itoke nje?

na Kirambo, musoma, - 29.03.08 @ 13:08 | #4046

wanataka kujadiliana namna ya kuficha mambo yao ktk EPA namba mbili maana namba moja watu wamewashtukia.watanzania tuwe macho tuhakikishe kona zote zinalindwa wasituingize mkenge hao

na kamwene - 29.03.08 @ 16:54 | #4064

Wakati wa kampeni za kugombea urais 2005 CCM hamkushtushwa na wingi wa waandishi wa habari!!! Mmesahau jinsi mlivyokuwa mnawanunua na kuwagharimia kila kitu ili habari zanu ziandikwe! Leo kwa vile waandishi wanaandika uozo wenu na jinsi mnavyo ikuza na kuisujudu rushwa basi imekuwa nongwa na mnawashangaa.

Siku isiyo na jina inakuja Mungu atawatujalia Watanganyika tuweze kuyafahamu makosa tunayoendelea kuyafanya ya kuipa kula CCM. Ndipo Mhe. Makamba tutakapo kutana pale Maheza-nguu Korogwe akiwa anakumbuka enzi za ufalme wao.

na Jackson, London, - 29.03.08 @ 17:16 | #4065

Paukwa, pakawa! fisadi wa EPA angejenga barabara ingekuwa ya kilomita ngapi? ohhhhh halo halo! EPA type of plundering and squandering public money is the vivid cause of our Poverty! but most important CCM is growing blind because of old age? No hypocrisy! It is high time you know it because our economy is downing, but still you fool us otherwise. No Economy should be a national interest and not political hypocrisy.

na Majaliwa, Musoma, - 29.03.08 @ 18:10 | #4069

Paukwa, pakawa! fisadi wa EPA angejenga barabara ingekuwa ya kilomita ngapi? ohhhhh halo halo! EPA type of plundering and squandering public money is the vivid cause of our Poverty! but most important CCM is growing blind because of old age? No, hypocrisy! It is high time you know it because our economy is downing, but still you fool us otherwise. No, Economy should be a national interest and not political hypocrisy.

na Majaliwa, Musoma, - 29.03.08 @ 18:14 | #4072
Kamanda, mimi ningependa kujua umuhimu wa kukopi maoni ya hao wachangiaji katika hilo gazeti na kuyaleta hapa...
 
Kamanda, mimi ningependa kujua umuhimu wa kukopi maoni ya hao wachangiaji katika hilo gazeti na kuyaleta hapa...

Uone wengine wanasema nini ambao hawajatokea JF maana mnadhani JF ni anti CCM mnashindwa kujua kwamba CCM ina breed maadui kwa matendo yake yenyewe .Beside nilitegea ulalie hoja ya gazetini zaidi kuliko ku hoji uhalali wa wachangiaji ama umaana wao .
 
Kamanda, mimi ningependa kujua umuhimu wa kukopi maoni ya hao wachangiaji katika hilo gazeti na kuyaleta hapa...

Tatizo liko wapi, kwani hutaki kusikia Watanzania wengine wana maoni gani kuhusu yanayojiri ndani ya nchi yetu!? :confused:
Lini ulichaguliwa hapa JF kuamua kipi kinastahili kutumwa hapa na kipi hakistahili!? :confused:
 
Uone wengine wanasema nini ambao hawajatokea JF maana mnadhani JF ni anti CCM mnashindwa kujua kwamba CCM ina breed maadui kwa matendo yake yenyewe .Beside nilitegea ulalie hoja ya gazetini zaidi kuliko ku hoji uhalali wa wachangiaji ama umaana wao .

Well said Lunyungu.
 
Tatizo liko wapi, kwani hutaki kusikia Watanzania wengine wana maoni gani kuhusu yanayojiri ndani ya nchi yetu!? :confused:
Lini ulichaguliwa hapa JF kuamua kipi kinastahili kutumwa hapa na kipi hakistahili!? :confused:

Hakuna tatizo Kamanda... ni vema kujua na wengine wanasemaje kuhusu yachapishayo kwenye magazeti....
 
Back
Top Bottom