Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kisa?
Nimepata taarifa ulizimia kwa presha!
Nimepata taarifa ulizimia kwa presha!
Sio habari
Wakati iko chadema mambo yalikuwaje? Na huko kawe na arusha na iringa na mbeya wananchi wana usongo kuwatoa hao magarasa..
Chadema chali, na bado hii ni rasharasha tu.
Nimepata taarifa ulizimia kwa presha!
Kwisha kazi yenu.Basi wewe inaonekana umezoea huo mchezo wa kulala chali
Pelekeni uvundo wenu huko kwenye madampo. CCM inanuka uozo wa dampoKwisha kazi yenu.
Acha kushabikia laana. Punguani kabisa. Mpaka sasa hujui kuwa CCM ni laana katika nchi?Uchaguzi wa naibu meya wa Ilala umefanyika Leo ambapo Mheshimiwa Masaburi Kutoka CCM kashinda.Kwa sasa Ilala meya na naibu meya wote CCM chadema wamevurumishwa wametoka ukumbini wakiwa wamejiinamia na huku wengine wakiwemo hasa wanaume wakilengwa lengwa na machozi
Haisaidii kitu. Ni vilio tu leo hapo ufipa.Pelekeni uvundo wenu huko kwenye madampo. CCM inanuka uozo wa dampo
Kisa hizo taarifa kula yako si inategemea wana siasa!Kisa?
Ilala kuna wakulima wa korosho eeeehUnadhani siasa ni ushabiki kama wa mpira?
Sasa hebu eleza, kwa ushindi huu wakulima wa korosho watalipwa lini?
Ila wangeshinda chadema ,wasingekufa?Uzuri mtakufa
Namhurumia Sugu na Lema Wana madeni hao na mwakani ubunge kea heri sijui watafanyaje madeni ya watu
[/QUOTE
Watayakataa kama Tyson.
Namhurumia Sugu na Lema Wana madeni hao na mwakani ubunge kea heri sijui watafanyaje madeni ya watu