usinijibu hivyo
JF-Expert Member
- Nov 7, 2017
- 248
- 327
Mtakumbuka Katibu Mkuu wa CCM DKT Bashiru Ally K. alipoenda Rombo Diwani wa CHADEMA kata ya Mahida Mr AIZAKI STEPHEN TARIMO alirudi CCM,kijana huyu anakubalika sana pale Mahida kwa Watu wanaoijua Rombo.
CCM wakamsimamisha kuwa Mgombea na Amepita bila kupingwaaa...
Nafikiri hii Tabia ya CHADEMA kulalamika na kuacha kushiriki hizi chaguzi inazidi kutuua badala ya kutujenga...
Kipi bora tushiriki tujaze mikutano tushindwe ama tusishiriki kabisa...?
Nilienda likizo Rombo Mwezi wa saba,Utafiti wangu mdogo kabisa,Mbunge Selasini hawamtaki tena Rombo na niwazi hawezi kushinda tena tatizo hakuna mtu wa kumwambia ukweli, Chadema tunaogopana.
Mtakumbuka maneno yangu 2020.
Rais MAGUFULI na serikali yake sio wajinga kumpeleka yule DC Agnes pale yule Mama anakubalika Rombo kiasi watu wanafikiria wampe Ubunge kwa kazi anazofanya Rombo ijapo ni mtu wa Mtwara.
Serikali hii si ya kijinga Kumpeleka Afisa Tawala DAS kijana mfia Kijani Asenga pale
Walijua ile ngome yetu na nikiri tumevunjwa vunjwa sana ROMBO,unapita njiani sikuhizi vijana wa bodaboda kwenye vijiwe vyao wanamashina na bendera za CCM,Rombo ipi hii?
Tusipo jitazama tukiendelea kufurahishana kwa Posti humu JF bila kuambiana ukweli....2020 tukipata wabunge 10 Mungu katupendelea.
Kumbukeni haya maneno
CCM wakamsimamisha kuwa Mgombea na Amepita bila kupingwaaa...
Nafikiri hii Tabia ya CHADEMA kulalamika na kuacha kushiriki hizi chaguzi inazidi kutuua badala ya kutujenga...
Kipi bora tushiriki tujaze mikutano tushindwe ama tusishiriki kabisa...?
Nilienda likizo Rombo Mwezi wa saba,Utafiti wangu mdogo kabisa,Mbunge Selasini hawamtaki tena Rombo na niwazi hawezi kushinda tena tatizo hakuna mtu wa kumwambia ukweli, Chadema tunaogopana.
Mtakumbuka maneno yangu 2020.
Rais MAGUFULI na serikali yake sio wajinga kumpeleka yule DC Agnes pale yule Mama anakubalika Rombo kiasi watu wanafikiria wampe Ubunge kwa kazi anazofanya Rombo ijapo ni mtu wa Mtwara.
Serikali hii si ya kijinga Kumpeleka Afisa Tawala DAS kijana mfia Kijani Asenga pale
Walijua ile ngome yetu na nikiri tumevunjwa vunjwa sana ROMBO,unapita njiani sikuhizi vijana wa bodaboda kwenye vijiwe vyao wanamashina na bendera za CCM,Rombo ipi hii?
Tusipo jitazama tukiendelea kufurahishana kwa Posti humu JF bila kuambiana ukweli....2020 tukipata wabunge 10 Mungu katupendelea.
Kumbukeni haya maneno