Hapo Magufuli kalikoroga mwenyewe inabidi alinywe! Kupenda sifa na dharau ndio hulka yake, sasa kakutana na watoto wa mjini! Hayo matamko si bure yawezekana kuna wakubwa wapo nyuma! Yeye hana budi tu kusema samahani halafu mambo yaishe. Otherwise,hii kitu itamsumbua tu na hakika inamsumbua!