Ni kwa vile tu Tanzania imejaa wanafki, wakati anaropoka pumba zake kuna watu alikuwa anawahutubia, leo anasema clip imetengezwa, ningekuwa mimi ni mmoja ya tuliokuwa tunamsikiliza na mimi ningeitisha press conference na kumtaka Ndugai aache kudanganya umma ile clip haijachezewa ni Bonafide genuine.Maneno yakishatamkwa hayarudishiki mdomoni
Mzee Stephen Wassira amesema CCM imeridhishwa na kitendo cha Spika Ndugai kutoka hadharani na kuomba msamaha kwa Rais Samia na wananchi kwa ujumla kufuatia kauli aliyoitoa kuhusu Mikopo kutoeleweka sawasawa.
Mzee Wassira amesema Spika Ndugai kwa upande wake ameshafunga mjadala na CCM wamemuelewa.
Mzee Wassira yuko mubashara na Aloyce Nyanda wakijadili mambo mbalimbali ya kisiasa.
Source: The Big Agenda Star tv
Wassira anahangaika sana kurudi kwenye system...
Huyu Mzee amefirisika kimawazo na hata kirasilimali ndio maana anahangaika!! Wassira is now senile, do not take him into account!!Wassira anahangaika sana kurudi kwenye system...
kwahiyo sasa hivi mzee Wasira anasemaje?
Hahahaaaa.... CCM ni chama kikubwa!Hata mleta mada mkuu. johnthebaptist kuna ujumbe wako huku 😁😁.
Hahahaaaa.... CCM ni chama kikubwa!