Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
CCM kweli ni kama vichaa .Kuna wakati walimtuma Ngeleja Tarime eti wakidai naye ana nguvu za kisiasa na mvuto wakala mweleka wakapoteana baada ya matokeo .Leo kilaza Lukuvi anaonwa ni wamaana sana ? Labda kupanga namna ya kutumia polisi nk lakini si kuzima vuhgu vugu huyo Gachuma pekee anajua .Mathayo kupigwa chini ni sawa mbona na yeye alitumia pesa na ujanja wa jamaa wa Pride Tanzania kuingia mjengoni ? Kila muosha maiti naye ataoshwa .Mathayo kaoshwa angali hai .Kwanza hana elimu ndiyo maana anatumia pesa tu kuutaka Ubunge tena wala si akili .